kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
Kwa habari hiyo hiyo Mlimani TV walionyesha umati mkubwa zaidi kuliko TBC, nadhani TBC walitafuta upande ulio wazi kidogo ndio wakauonyesha lakini bahati mbaya kote kulijaa hivyo wakawa hawana namna japo muda mwingi walimwonyesha Slaa na sio umati uliohudhuria, kinyume na mikutano ya CCM, muda wote camera kwa waliohudhuriaLakini kwa mkutano wa Slaa jana kule Biharamulo, TBC walionyesha ule umati uliohudhuria.