Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kaingie kwenye 18 zake nawewe atakupa mimba....Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Kaingie kwenye 18 zake nawewe atakupa mimba....Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Mkuu nilikuwa na maana kwamba afunge ndoa kanisani au kama hawataki aende kwa DC. Kumbe sasa hata ndoa ya mwanzo ya mchumba wake bado haijavunjika! Basi kuna kazi hapa. Inabidi kwanza ndoa ivunjwe ndio kuwe na mchakato wa kufunga ndoa. Mambo yananichanganya haya: Kama ndoa haijavunjwa inakuwaje awe mchumba wa mtu? Kwa mila za kwetu damu ingeishamwagika kitaaaambo.
Umbea unakusumbua mpaka hujui uandike nini sasa mambo binafsi ya Dr Slaa na mchumba wake sisi yanatuhusu nini?suala hili si umbea niko wazi mahakamani.
Nchi hii ndugu yangu vigogo wako juu ya sheria,kwetu sisi walala hoi ndio sheria msumeno utaona kama slaa atafanywa kitu,ataachiwa tu,namuonea huruma sana mwenye mke maana jambo hilo lisikie kwa mwenzako tu usiombe likutokee wewe yani mke wako au mume wako achukuliwe na mtu mwingine hata kwa usiku mmoja tu..Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?
Ingekuwa enzi za Mussa angepigwa mawe.Any way waende kwenye case inayowahusuKazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?
hakimu aagiza slaa, mchumba wake wafike mahakamani
imeandikwa na veronica mheta, arusha; tarehe: 21st february 2012
hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi arusha, charles magesa ameagiza katibu mkuu wa chadema, dk. Willibrod slaa na mchumba wake josephine, kufika mahakamani hapo leo asubuhi kabla ya kuanza kwa kesi dhidi yao na kinyume na hapo atatoa hati ya kuwakamata.
habari zaidi:
Magesa alitoa amri hiyo jana baada ya washitakiwa hao na mwenzao, aquiline chuwa kutofika mahakamani hapo na wakili wao, albert msando alipoulizwa akawatetea kuwa wamechanganya siku ya usikilizwaji wa kesi ya kufanya maandamano yasiyo halali na kesi ya kutoa matamshi ya uchochezi.
Jana katika kesi hiyo, usikilizwaji wa awali ulikuwa uanze kwa washitakiwa 19 akiwemo dk. Slaa kusomewa mashitaka mapya 13 yanayowakabili.
Awali wakili wa serikali, edwin kakolaki aliiomba mahakama kutoa hati ya kuwakamata washitakiwa hao na kuwaleta mahakamani kwa nguvu kutokana na kudharau mahakama.
si kweli kuwa wamechanganya tarehe ya kesi kutokana na wingi wa kesi walizonazo kwa kuwa wanaowadhamini wangepaswa kufanya nao mawasiliano pamoja na wakili wao.
naomba mahakama itoe hati ya kuwakamata na kuwaleta hapa kwa nguvu ili wasipate mkanganyiko wa kuchanganya tarehe, aliomba wakili kakolaki.
Kakolaki pia aliiambia mahakama kuwa washitakiwa hao wanadharau mahakama hiyo kwa sababu januari 17 mwaka huu waliambiwa wakumbushane ili wasikose mahakamani siku hiyo kwa sababu ndiyo usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo utafanyika, lakini hawakufanya hivyo.
mimi nasema hawajasahau wamefanya makusudi, kwa sababu wangeweza kutumia njia ya kuandika katika kumbukumbu zao ili wasisahau tarehe za kesi zao, pamoja na kudai wana kesi nyingi zinazowachanganya lakini hiyo siyo sababu ya msingi, alisema kakolaki.
Baada ya wakili kakolaki kutoa ombi hilo, aliomba mahakama iendelee na usikilizwaji wa kesi hiyo kama walivyokubaliana na washitakiwa ambao hawakuwepo, wasomewe mashitaka yao siku watakapofika leo.
Kakolaki baada ya kutoa ombi hilo, hakimu magesa alimwamuru aendelee na usomaji wa mashitaka ya awali.
Wakili kakolaki alidai washitakiwa wote 19 wanashtakiwa katika kosa la kwanza, kula njama januari 3 na 5 mwaka jana katika manispaa ya arusha ya kutenda kosa la kufanya fujo.
Katika kosa la pili linalowahusu washitakiwa 18, wameshitakiwa kula njama kufanya mkusanyiko usio halali na kufanya vurugu baada ya katazo halali.
Katika shitaka linawahusu dk. Slaa na mbunge wa moshi mjini, philemon ndesamburo, wanashitakiwa kwa kutoa matamshi yenye lengo la kuleta uchochezi.
Pamoja na mashitaka mengine, pia walishitakiwa kwa kufanya mkusanyiko usio halali kwa ajili ya lengo moja la kukataa kutii amri ya ocd iliyowataka watawanyike.
Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Mkuu hawezi kukatazwa. Hata mimi nilikuwa na mawazo hayo, lakini kuna hili jingine eti kwamba ndoa ya awali ya mama Josephine haijavunjwa. Hivyo basi DC hawezi kufungisha hii ndoa itakuwa ni kuvunja sheria. Ila najua pia kwamba kusuio la ndoa yoyote lazima litangazwe sasa isije ikatokea tena Dr. anatangaza kufunga ndoa na mtu ambaye ni wa mtu. Tuayaache hayo nadhani ni mambo ya wenyewe japokuwa wenyewe ni wetu kwa kuwa wanatuongoza/wanataka kutuongoza.Hivi Slaa, akiamua kufunga ndoa kwa Mkuu wa Wilaya atakatazwa?
Ndoa ya kanisa haivunjwi kirahisi rahisi hivyo labda akimbilie mahakamani kuivunja nasikia kanisani walikataa.
Hadi amezaa na Josephine, Dr Slaa yuko kimya sana angetoka kufafanua hili jambo litamchafua pasipo sababu. Kama ameamua kuishi na huyo mama hana sababu za kukaa kimya wakati jamii inaumba maneno mengi juu ya uhusiano huo wa kimapenzi.
"Great Thinkers..."Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?