Poleni mashabiki wa Dikteta Saanane.Mlitaka kuangusha ngome,huyo dogo taaluma zake ni za mapinduzi tu.nilitoa wito kwa watu kama hao kupigwa shaba tu maanake ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu.Najua hila zake,siku zote hakubali kushindwa ingawa anatabasamu lakini kwa visasai ni balaa,mtakuja kuniambia.Yeye ni muumini wa upanga kwa Upanga wa moto.hiyo ndiyo nadharia yake aliyokuwa nayo India kwenye madaraka.Aliwatesa sana wakenya na Waethiopia kwa kulipiza visasi hadi kuingilia chaguzi zao za ndani na kuvuruga.
Mnyang'anyeni kadi ili misimamo yake ya ki-Jihad akaisimamie katika kulea mimba ya yule Rebecca Tusizwe afisa ubalozi wa A.Kusini Tanzania.
kwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa CHADEMA, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao CHADEMA haipo kitu ambacho sio kweli, wanadumaza demokrasia ndani ya chama kwa kutaka watu wao tu ndo wachomoze katika ngazi za uongozi.
CHADEMA itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu CHADEMA sio NGO bana.
..........Pole sana. Inaelekea umetumwa(mamluki)
..........Aliyekutuma mwambie mbinu hii imeshtukiwa akutafutie mbinu nyingine !!! Si ajabu wewe ni mtu mzima tena unafamilia unaandika upuuzi kama huu!!!
..........unatumia makalio kufikiri.
..........Una PhD ya magamba kama ya Kikwete!
..........ulitumwa wapi ukakosea njia?
memba wa jf anatoa proposition kutokana na observations zake ambazo ni maono yake na mwazo yake halali kabisa,
majibu anayopata kutoka memba wengine ambao inaelekea ni"chadema vichwa" hapa jamvini,
...........
..........
..........
..........
..........
..........
In short wanaoitetea cdm kwa pumba inaelekea ni wengi na wanajisahau kuwa huu ni uwanda wa great thinkers!
Pamoja na hizo quotes chache hapo juu it does not appear that in this forum some cdm members put thinking into their party leanings.
Cdm imejijengea heshima na nguvu, na pengine kupitia hii forum. But with this level of contribution from cdm jf members basi kunamatatizo makubwa.wengi wanajisahau kuwa cdm ndio serikali kivuli na hivyo lazima iwekwe kwenye microscope.
The critique raised by phd is quite valid, and requires learned answers for the polulace.
The critique raised by PhD is quite valid, and requires learned answers for the polulace.