kilianzishwa kama zengwe la kupata ruzuku ttu na hakikuwa na ndoto za kuwa kilivyo, sasa wananchi wamekiaimni na kukitaka kichukue dola, hapohapo wasomi wengi wanaingia humo, hapohapo wenye upeo zaidi ya mkwemtu wamejaa humo, anafanya kila namna ili awe na mtandao mkubwa sana, hapo mbowe umechemka labda uvunje chama na watz tutakumaliza kama ukituuulia cdm yetu.
jana umewapigia simu akina joshua wa arumeru mashariki ukiwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kugawa pesa usiku guest na kusomba wajumbe kwenda mkutano.....
angalia sana hawa vijana ni imara na utajimaliza mwnyewe najua wako kimya si kwa uoga wala kuridhika, ila wanalo jambo na jana nilisema kwa kuwa wote hakuna mwenye njaa, wote wanfanya kazi..........soso mbowe labda uwaue kabla ya kukumaliza wewe..
slaa kutumia habari za jf kutoa hukumu kwao na kumtetea heche kwa makosa yanayofanana na wenzake ni udhaifu na usipokaa makini umejimaliza kabisa
can u justify mwenyekiti wa BAVICHA ni mtu wa nani...usiongee juu,justify kama si tunavo justfy eg january makamba,riz1 kikwete,nae nnauye,mwinyi...etckwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa CHADEMA, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao CHADEMA haipo kitu ambacho sio kweli, wanadumaza demokrasia ndani ya chama kwa kutaka watu wao tu ndo wachomoze katika ngazi za uongozi.
CHADEMA itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu CHADEMA sio NGO bana.
kwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa chadema, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao chadema haipo kitu ambacho sio kweli, wanadumaza demokrasia ndani ya chama kwa kutaka watu wao tu ndo wachomoze katika ngazi za uongozi.
Chadema itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu chadema sio ngo bana.
unatumia makalio kufikiri.
kilianzishwa kama zengwe la kupata ruzuku ttu na hakikuwa na ndoto za kuwa kilivyo, sasa wananchi wamekiaimni na kukitaka kichukue dola, hapohapo wasomi wengi wanaingia humo, hapohapo wenye upeo zaidi ya mkwemtu wamejaa humo, anafanya kila namna ili awe na mtandao mkubwa sana, hapo mbowe umechemka labda uvunje chama na watz tutakumaliza kama ukituuulia cdm yetu.
jana umewapigia simu akina joshua wa arumeru mashariki ukiwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kugawa pesa usiku guest na kusomba wajumbe kwenda mkutano.....
angalia sana hawa vijana ni imara na utajimaliza mwnyewe najua wako kimya si kwa uoga wala kuridhika, ila wanalo jambo na jana nilisema kwa kuwa wote hakuna mwenye njaa, wote wanfanya kazi..........soso mbowe labda uwaue kabla ya kukumaliza wewe..
slaa kutumia habari za jf kutoa hukumu kwao na kumtetea heche kwa makosa yanayofanana na wenzake ni udhaifu na usipokaa makini umejimaliza kabisa
kwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa CHADEMA, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao CHADEMA haipo kitu ambacho sio kweli, wanadumaza demokrasia ndani ya chama kwa kutaka watu wao tu ndo wachomoze katika ngazi za uongozi.
CHADEMA itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu CHADEMA sio NGO bana.
<br />PHD,<br />
<br />
Ungelikuwa na nia njema ubngelitaka kujua kilichojiri kwenye Kamati Kuu, ungeliuliza hoja zilizowasilishwa mbele ya Kamati Kuu na ushahidi wake, ungelituuliza alichofanya Mchange baada ya kuenguliwa. <br />
<br />
Kama unadhani unamtetea unaweza kujikuta ummemaliza zaidi. Yaliyostahili kuwekwa hadharani mbele ya Mkutano Mkuu wa BAVICHA, usitulazimishe hatimaye kujitokeza hadharani?<br />
<br />
Hatuko tayari kugawa CHADEMA kwa hoja zisizo na ukweli kama hizi zako, zenye nia na lengo la uchochezi tu wa wazi. Uungwana ni kufanya utafiti wa kina kabla ya kutunga hadithi za "kufikirika" kwa mambo mazito yenye kugusa nafsi za binadamu.
CHADEMA sio NGO[/B] bana.