kwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa CHADEMA, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao CHADEMA haipo kitu ambacho sio kweli, wanadumaza demokrasia ndani ya chama kwa kutaka watu wao tu ndo wachomoze katika ngazi za uongozi.
CHADEMA itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu CHADEMA sio NGO bana.
CHADEMA itakufa kwa sababu zao, ona walivyomtoa kafara habib mchange, ona wanavyomnyanyasa zitto kabwe , no slaa na mbowe tumewachoka kwa udikteta wenu CHADEMA sio NGO bana.