DR.SLAA na KIKWETE

hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk

Erred reasoning with incomplete investigation.
 
Katibu wa chama na Kikwete kama mwenyekiti wa chama tunawalinganisha ili kujua kama leo zingepigwa kura kwa upya nanai angeibuka kidedea mara kadhaa umesikia umaarufu wa fulani wapungua au umeongezeka. Lengo ni kupima utendaji wa rais na Rais mtarajiwa.

Acha kuwa na akili finyu unataka ulinganishe ili iwe nini upate faida gani? je matokeo yaliyo toka hukujua nani anapendwa na watu? Hivi unadhani watanzania wote wanatumia jf. Mwaka 2010 tanzania ilikuwa na wapiga kura zaidi ya milioni 40 je ni wana jf?
 
hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
mwingine ni (dr) wa kusomea darasan mwingine (dr) wa chee watoto wa mjin wanasema ushind wa mezani
 
Erred reasoning with incomplete investigation.

HOW????....Kumbuka unawalinganisha watu binafsi katika kukubalika (kitabirio cha kupigiwa kura) mmoja hatogombea tena(JK) na mwingine labda atagombea....sasa matokeo ya kura yako ya maoni yatasaidia nini?????.....
 
Unalinganisha Rais kivuli wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kuna ubaya gani? Public opinion is just that, lakini inasaidia kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa raia.
Hapa Marekani rais wa zamani Bush ana approval rating chini ya 30% na ndiyo maana haonekani sana hadharani, wakati rais wa zamani Bill Clinton ana approval rating ya 69%. Obama sasa hivi ndipo kafikia 50% na kuna uwezekano mkubwa atashinda mwezi Novemba. Kwa hiyo kuonyesha approval rating ya Kikwete, miaka miwili baaada ya uchaguzi wa 2010 ni kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa Watanzania.
 
HOW????....Kumbuka unawalinganisha watu binafsi katika kukubalika (kitabirio cha kupigiwa kura) mmoja hatogombea tena(JK) na mwingine labda atagombea....sasa matokeo ya kura yako ya maoni yatasaidia nini?????.....
This is for the sake of public opinion kaka, wachambuzi wa siasa hufanya hivi mara kadhaa kuangalia public opinion on person's political charisma, influence and prominence. Walio wahi linganishwa kama hivi ni Obama Vs Bush, Clinton Vs Bush,John Kerry Vs Bush, Mitt Romney Vs Obama. Hope umeelewa maana yake.
 
Kuna ubaya gani? Public opinion is just that, lakini inasaidia kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa raia.
Hapa Marekani rais wa zamani Bush ana approval rating chini ya 30% na ndiyo maana haonekani sana hadharani, wakati rais wa zamani Bill Clinton ana approval rating ya 69%. Obama sasa hivi ndipo kafikia 50% na kuna uwezekano mkubwa atashinda mwezi Novemba. Kwa hiyo kuonyesha approval rating ya Kikwete, miaka miwili baaada ya uchaguzi wa 2010 ni kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa Watanzania.

Bro Jasusi,
Umeeleza vizuri kuu approval rating lakini umechanganya Dr Slaa hajawahi kuwa rais labda ungefanya approval rating kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete.
 
Last edited by a moderator:
This is for the sake of public opinion kaka, wachambuzi wa siasa hufanya hivi mara kadhaa kuangalia public opinion on person's political charisma, influence and prominence. Walio wahi linganishwa kama hivi ni Obama Vs Bush, Clinton Vs Bush,John Kerry Vs Bush, Mitt Romney Vs Obama. Hope umeelewa maana yake.

Lakini si rahisi kumlinganisha mtu binafsi ambaye majukumu yake yanatoa matokeo yanayoonekana kwa urahisi kwa umma (JK) na yule ambaye majukumu yake si rahisi kuona matokeo yake kwa umma(WS)...sijui unalionaje hili??
 
Lakini si rahisi kumlinganisha mtu binafsi ambaye majukumu yake yanatoa matokeo yanayoonekana kwa urahisi kwa umma (JK) na yule ambaye majukumu yake si rahisi kuona matokeo yake kwa umma(WS)...sijui unalionaje hili??
The things that connects these two is politics and leadership. Both Slaa na JK ni viongozi wa umma. Public inawasikiliza sana. Na majukumu, matamshi, na muelekeo wao una-impact kwa public... Matokeo; JK CCM Manifesto, Slaa M4C.
 
hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
Nadhani nani zaidi kwa kukubalika kwenye jamii kama kiongozi thabiti au na hilo nalo uelewe?utakuwa na lako hapo.
 
Magamba wasiwasi wenu ni nini acheni wana JAMVI tupige kura ya kutokuwa na imani na RAIS, bungeni mnatushinda lakini uku tulipo wana wa nchi lazima TUMTOE mtu nishai.
 
Bro Jasusi,
Umeeleza vizuri kuu approval rating lakini umechanganya Dr Slaa hajawahi kuwa rais labda ungefanya approval rating kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete.

Sawasawa. Lakini kwa sababu Dr. Slaa aligombea urais mwaka 2010 ningekuwa mimi nafanya ukusanyaji wa maoni ya raia ningependa kujua ana approval rating kiasi gani hivi sasa, ingawa si kipindi cha uchaguzi. Ni vizuri kujua anakubalika kiasi gani miongoni mwa Watanzania.
 
Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?

kama huna kazi ya kufanya njoo nikuajiri kuliko kupambanisha mu-israel(kikwete) na bushman(slaa) kiakili.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom