Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?
Hawa ndio GT wetu wa JF , JF tumekwisha kila siku tunazidi kudharauliwa kwa mada zetu humu ndani zisizo msaidia mtanzania wa kawaida
Miaka 50 nyie mmeitumiaje kuwasaidia watanzania wa kawaida?
Hawa ndio GT wetu wa JF , JF tumekwisha kila siku tunazidi kudharauliwa kwa mada zetu humu ndani zisizo msaidia mtanzania wa kawaida
na ukipost mada zenye ukweli zinafungwa wacha wapost upumbavu hujanote tu siku hizi habari zenye uchambuzi watu hawaleti tena maana mamods wanazifunga haraka ????????
Hawa ndio GT wetu wa JF , JF tumekwisha kila siku tunazidi kudharauliwa kwa mada zetu humu ndani zisizo msaidia mtanzania wa kawaida
hujui wameajiriwa rasmi na sehemu yao ya kazi ni huku jf???????Kwanini MODS wasitusaidie kurekebisha hili jukwaa,mada zingine hazina vichwa wala mkia.kuna nyingine ya rizt ipo hapa yaani tumbo eti madiwani wa cdm wamegawana viwanja hana ushahidi wala mwanza haijui,mods tusadieni
Hawa ndio GT wetu wa JF , JF tumekwisha kila siku tunazidi kudharauliwa kwa mada zetu humu ndani zisizo msaidia mtanzania wa kawaida
hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?
haswaaaaana ukipost mada zenye ukweli zinafungwa wacha wapost upumbavu hujanote tu siku hizi habari zenye uchambuzi watu hawaleti tena maana mamods wanazifunga haraka ????????