Dr. Slaa Msikivu, Mfano wa kuigwa

hivi wale wahadhiri wanaoitisha maandamano ya kudai mou na kanisa uvunjwe na kutaka mahakama ya kadhi, ni wahadhiri wa kitu gani na wamesomea nini na wapi? Education qualification zao ni zipi?

Just curious???!!!
 
hivi wale wahadhiri wanaoitisha maandamano ya kudai mou na kanisa uvunjwe na kutaka mahakama ya kadhi, ni wahadhiri wa kitu gani na wamesomea nini na wapi? Education qualification zao ni zipi?

Just curious???!!!

Jibu ni madrasa, kwao falsafa ni elimu dunia haiendani na elimu ya Mungu.
 
Dr Slaa ni mwiba unaoumiza makanjanja wote wa CCM,
Dr. Slaa, katika sikukuu hizi za mwisho wa mwaka mimi binafsi nitakuwa na vikao na wazee wa koo saba zilizopo near my boma, vikao hivi ni kuhamasishana juu ya ukombozi na harakati za kumtoa mkoloni mweusi.
Kwa sababu niko kilimanjaro nitawakumbusha wanaboma hawa kuwa Nape ambaye ni muenezi wa CCM aliwai kusema hawezi kushirikiana na wachaga hivyo hii ni rai kwa wachaga na wajanja wa kaskazini kuachana na CCM coz Nape kasema hawaitaji kabisa.
Katika sikukuu ya mwaka mpya nitafanya kikao cha boma na kuwapa rai wahusika kuwa kama kuna mwanachama wa CCM ktkt hili boma langu itabidi atoe maelezo kwa nini asiame hapa bomani.
Dr Slaa nakuamini na 2015 nimejiandaa kwa lolote ili mradi heshima iwepo.

Burning and lotting is my second option.
 
Mdanganyeni2 awape tafu ya kuvuta watu kwenye mikutano kwa staili yake ya kuongea uwongo,, lakini wakati ukifika , kwanza kikumbo atakachokumbana nacho ndani ya chama chake kabla 2015 cyo kdg..lazima atambue hili ingawa c lazima aamini hili... Kwa ujumla hasa sifa za kutatua matatizo yanayolikumba taifa laTANZANIA..
 
Dr.Slaa anasumbua vichwa vya mafisadi na vilaza wanaoishi kwa mazoea. Ndugu yangu Topical, Dr.Slaa sio level ya wahadhiri wa madrasa wanaotaka kuandamana kesho. Falsafa imelala pale na kamwe usifikiri ni ule udokta wa kupewa na shemeji zako wakifurahi. Yule kasoma.

Napendekeza Mufti ajaye awe Mh.Zitto Kabwe ili na sisi tusio na hospitali na vyuo vikuu angalau kwa mara ya kwanza tuongozwe na mtu aliyevuka form 4, au wadau wa mahakama ya ndoa mnasemaje?
 
Dr.Slaa anasumbua vichwa vya mafisadi na vilaza wanaoishi kwa mazoea. Ndugu yangu Topical, Dr.Slaa sio level ya wahadhiri wa madrasa wanaotaka kuandamana kesho. Falsafa imelala pale na kamwe usifikiri ni ule udokta wa kupewa na shemeji zako wakifurahi. Yule kasoma.

Napendekeza Mufti ajaye awe Mh.Zitto Kabwe ili na sisi tusio na hospitali na vyuo vikuu angalau kwa mara ya kwanza tuongozwe na mtu aliyevuka form 4, au wadau wa mahakama ya ndoa mnasemaje?

kuhusu mufti mmeenda mbali hapo, hatuhitaji digree Ni Elimu ya dini pia busara na hekima.
 
Tafuteni mtu mwingine wa kumuuza lakini huyu jamaa yenu hafai hata kidogo, hivi hakuna watu waliosoma huko chadema kuliko kutuletea degree za kanisani wanandugu???

Tafuteni msomi wa elimu dunia bana

As your name implies so is your understanding. You know things topically.

Umefanya makusudi kutaka kuigonganisha mada hii na maslahi yako ya kidini. Maana hata Butiku aliwaambia "CCM ndiyo vinara wa siasa za udini"

Ni nani mwenye akili timamu na elimu bora ya kawaida atakaye kubali kuongozwa na mtu aliyesoma elimu dunia?

Kawadanganye wasiojua, huwezi ukasoma elimu dunia usijifunze uchawi/uganga wa majini

Kama jambo unalifahamu juu-juu, basi nyamaza kimya watu wasije kugundua mapema wewe ni maamuma.
 
By the way, Alhaj Sulleiman Kova amepiga marufuku yale maandamano ya walimu wa madrasa yaliyokuwa yafanyike kesho. Sasa kama kuna mwanaume anathamini ndoa zaidi ya afya ya mifupa yake na aandamane tuone.

Wameambiwa kwanza wapeleke vyeti vyao vya shule ndio waruhusiwe kuandamana. Hii inatokana na Sheria mpya ya Maandamano ya Mwaka 2011, Kifungu 8A, Ibara ya 13 kinachozuia ushiriki wa maandamano kwa mtu yeyote ambaye hajafikia elimu ya kidato cha 4 kwani uwezekano ni mkubwa kuwa atakuwa anaandamana bila kujua anaandamania nini. Sasa imedhihirika kuwa hawa wahadhiri wenyewe ni STD 7 Leavers, hata shule za kata hawajahitimu.

Tafadhali usinibishie kama wewe sio mwanasheria.
 
kwanini wasimpe barubaru au mohamed said u-mufti wa tz?? Hawa inasemekana wamesoma sana hawa.
 
kuhusu mufti mmeenda mbali hapo, hatuhitaji digree Ni Elimu ya dini pia busara na hekima.

Na hiyo ndio tofauti yetu. Unapokuwa na kiongozi wa dini ambaye hana shule, dini inabakia kuwa mzigo badala ahueni kwa waumini. Hapo ndio utaona kwa nini leo tunatumia muda kujadili MoU kwa kuilinganisha na Kadhi Court. Kiongozi wa dini asiyesoma hatojua kubalance mahitaji ya binadamu kwa mwili na roho.

Ukikosa elimu huwezi kuwa reasonable. Je kuna sababu yeyote ya nyinyi kutokupenda kuongozwa na watu waliosoma? Je kuna ukweli kwamba ukienda darasani hutajisikia kamwe kuongoza dini yenu? Je ni kweli kuwa ili uwe na mafanikio ktk kuongoza dini yenu lzm uwe na mambo fulani fulani ambayo nikiyataja hapa yataleta mzozo? Je ni kweli elimu ya duniani ni adui yenu? Je ni kweli dini yenu inapingana na yale mambo yaliyokuwa yakifanyika pale mwembe chai pembeni ya BP?
 
Tafuteni mtu mwingine wa kumuuza lakini huyu jamaa yenu hafai hata kidogo, hivi hakuna watu waliosoma huko chadema kuliko kutuletea degree za kanisani wanandugu???

Tafuteni msomi wa elimu dunia bana
the free encyclopedia
Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.

Members of the Supreme Tribunal of the Apostolic Signatura, Auditors of the Tribunal of the Roman Rota, judicial vicars, ecclesiastical judges, defenders of the bond, and promoters of justice, must possess either a doctorate or license in canon law. Either of the degrees is recommended for those who serve as vicar general or episcopal vicar in a diocese. Candidates for bishop must either possess the doctorate in canon law or the doctorate in sacred theology or be truly expert in one of those fields. Canonical advocates must possess the doctorate or be truly expert.
The Roman Church has the oldest continuously used homogenous legal system in the world. Following the Gregorian Reform's emphasis on canon law, bishops formed cathedral schools to train the clergy in canon law. Consequently, many of the medieval universities of Europe founded faculties of canon law (e.g., Cambridge and Oxford). Since the Protestant Reformation, however, they became limited to those universities which retained Catholic faculties (e.g., Pontifical University of St. Thomas Aquinas (Angelicum), Gregorian University, Catholic University of Louvain,

Soma hapo kwenye red; ndio maana wakristu wanawapiga bao, nyie mmekazana na mdrasa wenzenu kwenye vyuo vyao wanafundisha kila kitu, elimu dunia na ile ya dini. Kwa taarifa yako ukichukua course content ya law (UDSM) ni kama ka-subset ka course content ya Canon law ya UrbanianaUniversity aliposoma Dr. wa ukweli Slaa, ndio maana mzee wa msoga na PhD zake feki hawezi kutia mjadala na Slaa, anamjua!
 
Back
Top Bottom