Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ina maana Mnyika kakamatwa????
Hivi kama Mnyika ametoa tuhuma na akasema hana imani ya kuhojiwa na polisi, ni sheria gani inawapa nguvu polisi kumkamata? Tena baada ya kusema hana imani nao?
wewe uko wapi kiasi kwamba useme jiji limetulia sema sehemu uliyopo ni tulivu unalijua jiji weye halijai kwenye kiganja ila nilikubwa mno.uzushi huo, jiji limetulia kabisa halina hata dalili ya vurugu.
hawa polisi na shida zote hizo bado wanakubali kutumika kinyume?
Good if I'm one of them but who side with civilian and Patriots like John Mnyika..
Uzushi huo, jiji limetulia kabisa halina hata dalili ya vurugu.
wewe uko wapi kiasi kwamba useme jiji limetulia sema sehemu uliyopo ni tulivu unalijua jiji weye halijai kwenye kiganja ila nilikubwa mno.
Nafikiri kulinda haki ya kila raia ,au polisi wawapeleke mahakamani hao akina Slaa wakiwashitaki kwa kosa la uzushi !
Ni kweli Lumumba kumetulia hasa baada ya kulindwa na kikosi cha kudhiti CDM kinachoongozwa na Zoka
huyu mwiba si yule yule wa uamsho
Tatizo lako unadhani kila mtu CCM, mimi ni mpigakura wa JJ Mnyika ambae nlimpa kura yangu ya NDIO na ninaishi katika jimbo lake.