Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Baada ya kumsikiliza kwa makini Dr. Slaa jana na kukumbuka harakati zake za kuwakomboa watanzania kuanzia bungeni, watanzania hatuna mengi ya namna ya kumuelezea Dr. Slaa bali kusema anawapenda watanzania na nchi yake ya Tanzania kwa MOYO wake wote. Kwa ufupi ni MKOMBOZI wa kweli wa watanzania na Tanzania. Rais mwenye nia ya dhati kuwakomboa watanzania ni Dr. Slaa