WanaJF,
Kwanza napemda kuwasalimu kwa heshima na taadhima.
1. Siku zote nimewaasa mdugu zangu kupanda juu ya ushabiki usio na maana. Tusipoteze muda kwenye ushabiki bali tutumie muda wetu kujadili mustakabali wa Taifa letu ambalo kila siku linaporomoka.
2. Kujadili umaarufu wa Slaa au Lipumba hakutaokoa Taifa. Tutumie muda zaidi kujadili hoja na vision ya mtu ndio mambo pekee yatakayookoa Taifa؛ kupunguza makali ya maisha, kuokoa uchumi wetu, kuwapatia vijana ajira, kujadili msingi ya matatizo yetu .
3. Dr Slaa nilikuwa Lago di Como Milan(siyo Vatican) kwenye mkutano wa kimataifa uliohusu hali ya uchumi. Mkutano huo umepangwa zaidi ya miezi 8 iliyopita na ratiba ya Dr slaa haina uhusiano na ratiba ya Prof. Lipumba. Isitoshe siasa si uadui.
Yeah,nyanya yako aliyanyonya yote yakaisha.
Ndo keshaanza kuwasogelea hivo,inabidi afungwe kamba aisee.
Hizi ndio sera ambazo CCM huwa wanasema wapinzani hawana?Siku Prof.Lipumba anarudi toka marekani,Dr.Slaa alikuwa anarudi pia toka anakojua mwenyewe.
Kuna uhusiano wowote kati ya maneno ya Nchemba na Safari ya Dr.Slaa?
Kwamba kafulia kiasi kwamba anaomba kutibiwa na serikali?
Mara nyingi safari zake za nje huwa anatoa taarifa,kwanini hii ilikuwa kimya kimya?
Dr.Slaa,toa ufafanuzi.
Dr Slaa ni binadamu na wala si Mungu hata asiugue.
Siku Prof.Lipumba anarudi toka marekani,Dr.Slaa alikuwa anarudi pia toka anakojua mwenyewe.
Kuna uhusiano wowote kati ya maneno ya Nchemba na Safari ya Dr.Slaa?
Kwamba kafulia kiasi kwamba anaomba kutibiwa na serikali?
Mara nyingi safari zake za nje huwa anatoa taarifa,kwanini hii ilikuwa kimya kimya?
Dr.Slaa,toa ufafanuzi.
Majibu ya Dr Slaa kutoka kwenye thread nyingine
Kwa nini sasa Slaa anakwenda kuingukia serikali wampeleke kutibiwa kwa siri pamoja kuwa ni haki yake kwa nini anafanya siri.
Siku Prof.Lipumba anarudi toka marekani,Dr.Slaa alikuwa anarudi pia toka anakojua mwenyewe.
Kuna uhusiano wowote kati ya maneno ya Nchemba na Safari ya Dr.Slaa?
Kwamba kafulia kiasi kwamba anaomba kutibiwa na serikali?
Mara nyingi safari zake za nje huwa anatoa taarifa,kwanini hii ilikuwa kimya kimya?
Dr.Slaa,toa ufafanuzi.
Tatizo sio kuugua,tatizo ni kwanini aombe msaada serikalini kwenda kutibiwa?
Ni kwamba kafulia au?
Kwanini msimchangie wana JF maana ni "mungu" hapa,hatakiwi kuongelewa.
Una uhakika gani? Wewe ndiye waziri wa afya?Kwa nini sasa Slaa anakwenda kuingukia serikali wampeleke kutibiwa kwa siri pamoja kuwa ni haki yake kwa nini anafanya siri.
Tatizo sio kuugua,tatizo ni kwanini aombe msaada serikalini kwenda kutibiwa?
Ni kwamba kafulia au?
Kwanini msimchangie wana JF maana ni "mungu" hapa,hatakiwi kuongelewa.
naona una hamu ya kujua mambo yake binafsi sana kama vipi ongea na josephine akuachie....Kwa nini sasa Slaa anakwenda kuingukia serikali wampeleke kutibiwa kwa siri pamoja kuwa ni haki yake kwa nini anafanya siri.