Well hii sio habari njema kwa Chadema kihivyo. Jimbo la Karatu linarudi CCM believe me. Na kwa taarifa tu ni kuwa kweli Dr. Slaa hawezi kupata urais kwa sasa. Kama yuko kupima anakubalika vipi ili agombee 2015 sawa.
jf:A S 465:source plzz!
Well - nilikuwa bado na "hang-over" ya JackD lakini sasa najisikia nafuu
This might not necessarily mean kuwa Dr Slaa atakuwa the next President But at least some voters have got "a person" to vote for kwenye presidential position.
Thanks inafanya kazi...
Tunasubiri Mgombea Mwenza