Dr Slaa mgeni rasmi Kongamano la Wanafunzi Chuo Kikuu Cha Mzumbe Morogoro

Ndugu wa JF shamra shamra ni nyingi hapa, wanafunzi kwa wananchi wa maeneo ya
jirani wamejawa na furaha kumsubiria Dr wa ukweli anayetarijiwa kufika muda si mrefu.
Tutazidi kuwajuza muda utakavyokwenda.
Aluta continual...................
 
safi sana ....hizi ni dalili njema sana katika kuandaaa vijana kuelekea kuchukua dola 2015
 
Ndg walio hapo na hata picha msisahau. TWANGA KOTEKOTEEEEEeeeeeeeeeeéèéè¡¡¡¡
 
pamoja sana uzi ule ule mpaka kufikia uhuru wa kweli.wali2ondolea elimu ya uraia ili 2cjue mustakabali wa nchi ye2 sasa 2mepata walimu wa kweli...............
 
Yap redemption is at hand.immediately get rid of magamba!! Leta habari mkuu.
 
Wanafunzi wa vyuo vikuu hawatupendi.
Sisi wenyewe tumegawanyika.
Gamba halitoki.
Mnajimu wetu kafariki.
TUFANYEJE JAMANI.
 
Bravo Gwota,
Inatia moyo sana,wape ujumbe na salamu zetu.Hatukuweza kujiunga nanyi kwa kuwa isingekuwa busara kwa wagombea wa uongozi wa BAVICHA kushiriki kipindi hiki.The wind of change is blowing......
University students' movement has lost all the radical fibres it was formerly recognized for.Tufufue harakati za mabadiliko,vijana wa vyuo ndiyo nguvu ya mabadiliko haya.Tuunganisha nguvu na Labour unions,Activists wengine na vijana wapenda mabadiliko wa nchi hii

Honestly to be precise, Higher Education students' movement must start afresh and build a new organizations that will base itself on the idea of transformation of the society from this man-eat-man, decadent neo-liberal system that prioritize profits for the rich few against the welfare of the working people including the students; to an egalitarian system where the wealth of the country will be collectively used for people's need as against that of imperialism and its hangers-on in the country's polity.

The genuine activists remaining on campuses must stand up and build a new Pan-Tanzanian students' movement that will not only defend the rights of Tanzanian youth to free, well funded and qualitative education with democratic impute of the workers' and students' unions in the running of the education sector but also link its struggle with that of other sections of the oppressed layers –workers, artisans, professionals, etc and defend people's rights to better socio-economic system that will defend people's welfare. Let us Dare!
 
The Wind of change is Blowing.
University students' movement has lost all the radical fibres it was formerly recognized for.Tufufue harakati za mabadiliko,vijana wa vyuo ndiyo nguvu ya mabadiliko haya.Tuunganisha nguvu na Labour unions,Activists wengine na vijana wapenda mabadiliko wa nchi hii

Honestly to be precise, Higher Education students' movement must start afresh and build a new organizations that will base itself on the idea of transformation of the society from this man-eat-man, decadent neo-liberal system that prioritize profits for the rich few against the welfare of the working people including the students; to an egalitarian system where the wealth of the country will be collectively used for people's need as against that of imperialism and its hangers-on in the country's polity.

The genuine activists remaining on campuses must stand up and build a new Pan-Tanzanian students' movement that will not only defend the rights of Tanzanian youth to free, well funded and qualitative education with democratic impute of the workers' and students' unions in the running of the education sector but also link its struggle with that of other sections of the oppressed layers –workers, artisans, professionals, etc and defend people's rights to better socio-economic system that will defend people's welfare. Let us Dare!

Mkuu habari za leo
 
Mungu ibariki Tanzania,
Wabariki na watu wake,
Kibariki na Chama cha Chadema
 
safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMungu azidi kumpa nguvu Dr 2015 cdm haitakuwa hii tunayoijua.
 
The Wind of change is Blowing.
University students’ movement has lost all the radical fibres it was formerly recognized for.Tufufue harakati za mabadiliko,vijana wa vyuo ndiyo nguvu ya mabadiliko haya.Tuunganisha nguvu na Labour unions,Activists wengine na vijana wapenda mabadiliko wa nchi hii

Honestly to be precise, Higher Education students’ movement must start afresh and build a new organizations that will base itself on the idea of transformation of the society from this man-eat-man, decadent neo-liberal system that prioritize profits for the rich few against the welfare of the working people including the students; to an egalitarian system where the wealth of the country will be collectively used for people’s need as against that of imperialism and its hangers-on in the country’s polity.

The genuine activists remaining on campuses must stand up and build a new Pan-Tanzanian students’ movement that will not only defend the rights of Tanzanian youth to free, well funded and qualitative education with democratic impute of the workers’ and students’ unions in the running of the education sector but also link its struggle with that of other sections of the oppressed layers –workers, artisans, professionals, etc and defend people’s rights to better socio-economic system that will defend people’s welfare. Let us Dare!

Nakubali ushauri wako all%
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom