Hapo bado upo India halafu uulete Tanzania uuze kwa bei ya Slaa ya 5,000/= kwi kwi kwi teh teh teh!
Hicho kiwanda si kilikuwa cha umma mkashindwa kukiendesha? kachukuwa singa singa, mambo swaafi kabisa. Ndio maana mkaambiwa maendeleo ya mtu huletwa na yeye mwenyewe. Nyinyii mlishindwa nini tena umma mzima, singa-singa mmoja kaweza. Aibu.
tumelogwa na vitishet na vikanga na vikofia vya ccm no 1Asante Salma uchambuzi makini. ndo maana najiuliza nani katuloga?
Sema vizuri!chama lako hilo la majizi ndilo lililoendekeza ulafi mpaka likakosa hela ya kununulia Mifuko!!ambayo ndiyo material pekee inayoingia kutoka nje ya geti,aibu gani hii mmetuletea watanzania?nakuombea kwenye jeneza la ccm nawe uwepo ndani yake,na mfe kwa aibu kama yule masikini muliyemdhulumu anavyoishi kwa aibu.
SALMA2015, nilikuwa naelewa kwamba Twiga Cement uimport clinker toka nje ya nchi ili kufidia mahitaji yao ya clinker. Sijui kama wameanza kutengeneza clinker ya kutosheleza mahitaji pale kiwandani (ingawa nafahamu walikuwa wana mpango wa kuboresha uzalishaji wa clinker katika KILN No. 3) . Na nakumbuka mara kwa mara wamekuwa wakilalamika juu ya gharama kubwa za uzalishaji zinazochangiwa na uagizaji wa clinker toka nje.
Nikaenda mbali kidogo na kujiuliza kwanini India cement ni bei rahisi. Nikagundua kwamba, kasheshe kubwa ya kutengenza sement iko kwenye maandalizi yake hasa hasa uzalishaji wa vijiwe vidoho vigumu sana vinavyoitwa Clinker. Mchakato wa Kutengeneza malighafi hii clinker ndio mgumu na ghali zaidi. Kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua utengenezaji wa Clinker Kule India Ni Ghali sana Kulinganisha na hapa kwetu TZ. Nilibahatika kutembelea kiwanda cha Lafarge Mbeya Cement maarufu kwa kutengeneza Cement ya Mnyama (TEMBO CEMENT). --Simba ni Tanga na Twiga ni DSM.
Halafu hiyo hesabu yako mfuko mmoja ni shillingi ngapi? ukiweka gharama za usafiri wa meli (zilizo sawa, hiyo ya dola 400 kwa container la futi 40 ni porojo), gharama za bandari? usafiri wa nchi kavu? gharama za kuhifadhi (storage)? gharama za kuuza (sales cost)? kwi kwi kwi teh teh teh, bado ni elfu tano tu kwa mfuko? sasa wewe mbona juu huko kwa gharama porojo na unauza 10,000 kwa mfuko? umempita bei Slaa kwa 100%, sasa nani porojo zaidi wewe, au yeye?