kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
SALMA2015
Container la futi 40 kutoka India mpaka hapa ni Dollar 400? nipe hiyo kampuni inayosafirisha kwa bei hii, kila kontena mimi ntakupa wewe commission ya dollar 100. Niko tayari, sasa hivi hata container 200 kuzi reserve meli nzima.
Wacha kudanganya umma.
Ndio unaamka nini shekhe zomba?
Last edited by a moderator: