Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Asante mkuu hata kama umeniongezea hasila!
wenzako wameamua kujenga 2016.... nadhani unajua nani atakuwa anashika madaraka ya nchi hii
Asante mkuu hata kama umeniongezea hasila!
Kwa hii taarifa yako mkuu, basi uduni wa maisha tulionao watanzania ni wa kujitakia wenyewe, tena kwa kuukumbatia kwa mapenzi makubwa kiasi cha kushindwa kuihukumu CCM kupitia sanduku la kura. Hakuna maendeleo ya maana hapa Tanzania mpaka kuwe na mabadiliko ya maana katika serikali inayotawala.