MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
..too much money and time is wasted ktk mchakato.
..Issa Shivji na Mark Bomani wangeweza kuandika katiba mpya in 100 days.
..sasa hivi wanakwenda kuongea na wananchi ambao hawana uelewa wowote ule na masuala ya katiba.
..mapesa wanayofuja yangeweza kujenga vyuo kadhaa vya VETA wenetu wakasoma humo.
Kweli wewe ni joka kuu tena lenye ndimi mbili. Hivi katiba si lazima itokane na wananchi, sasa issa shivji ndo angekuwa amebeba mawazo ya watz wote. Kweli masaburi at profitless work.