Hamna ujanja huo. Kuna kundi kubwa sana na muhimu sana ambalo haliwaungi mkono na mnajuwa kwanini.
siasa za maneno ya kujifariji, subirini 2015 hao wabunge tuliowapa ili tuwape nguvu tuishushe cuf nafasi ya pili hamtawapata tena, ni sisi ndio tunaoamua nani awe nafasi ya pili, 2015 nafasi ya pili NCCR.