- Wamtetea Dk. Mwakyembe katika sakata la umeme
- Wamshukia vibaya Rostam...
Zaidi naja kukupasheni... Looking for the Audio version of this(these) Press Conference(s)
Na Mwakyembe nasikia ameamua kuwatolea uvivu kabisa... liwalo na liwe.. Sasa kina Mbowe hawakumsikiliza mzee Malecela jana? Kasema malumbano yakome, mbona hayakomi!! maana nasikia kuna msurururu wa mikutano ya waandishi sitoshangaa kesho ikawa "double dose"
Yaah,Na Mwakyembe nasikia ameamua kuwatolea uvivu kabisa... liwalo na liwe.. Sasa kina Mbowe hawakumsikiliza mzee Malecela jana? Kasema malumbano yakome, mbona hayakomi!! maana nasikia kuna msurururu wa mikutano ya waandishi sitoshangaa kesho ikawa "double dose"
Na Mwakyembe nasikia ameamua kuwatolea uvivu kabisa... liwalo na liwe.. Sasa kina Mbowe hawakumsikiliza mzee Malecela jana? Kasema malumbano yakome, mbona hayakomi!! maana nasikia kuna msurururu wa mikutano ya waandishi sitoshangaa kesho ikawa "double dose"
Yaah,
Lakini nimebahatika kuongea na mmoja wa watu wa ndani wa chama hicho, anadai wameshtuka kuona Press Conference ya Dr. Slaa inahudhuriwa na waandishi 62 kitu ambacho si cha kawaida
Issue ya Zitto Dr. Slaa kairuka, kasema Bunge limekwishatoa 'statement' yake dhidi ya Dowans na wala asingependa kugusia hilo.Kama Mbowe na slaa wako kwa mwakyembe, where is Zitto??
But you are one of them!Na mimi nimeamua kuitisha mkutano wa waandishi wa habari!!! watakoma!
Kuhusu Rostam.
Leo Dr.Slaa kaamua kuuvunja mzizi wa fitna pale alipoweka wazi kile ambacho kinaendelea kati ya Rostam , Mwakyembe e.t.c kwa kuweka ukweli hadharani juu ya kampuni ya kuzalisha umeme ambayo inamilikiwa na Rostam inaitwa PE (POWER ENERGY).
Kampuni hii inalitaka eneo la kijiji kinaitwa Kisasida , na kampuni ya Rostam inamilikiwa kwa ubia wa yeye pamoja na Lowassa , na ndio maana utaona jinsi ambavyo mkuu wa mkoa wa Singida alikuwa mstari wa mbele kuibeba kampuni hii ya Rostam na Lowassa .
Hili limepelekea CHADEMA kumfikisha mkuu wa mkoa mahakamani na tangu jana alishapelekewa barua ya kusudio la kuburuzwa mahakamani baada ya kumtukana mwenyekiti wa kijiji hicho pamoja na viongozi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara.
Kampuni hii ya PE na ile ya wakina Mwakyembe wako kwenye kupigania kupata eneo kwenye kijiji hicho.
Mengine nitawaeleza zaidi baadae.
Kampuni hii ya PE na ile ya wakina Mwakyembe wako kwenye kupigania kupata eneo kwenye kijiji hicho.
Mengine nitawaeleza zaidi baadae.