hata mimi nimepigiwa cm wapo central fahamisheni vijana wote matawini...
Hv Dk.Ulimboka anaendeleaje?
Nenda mwenyewe
Wakuu,
Nimetumiwa msg na watu zaidi ya 2 kuwa Mh Mbowe, Slaa na Lema wako Central Muda huu. Hajanieleza kwanini wamekamatwa. Nikipata details nitaziweka hapa.
Ingelikuwa Arusha muda huu polisi pangekuwa hapatoshi
Haraka za nini,kwani una tumbo la kuharisha?
Siku yao ipi kila siku una-post maneno tu badala ya kufanya vitendo? Ama kweli Dua la Kuku..................Asira zangu zinazidi kukaribia kichwa! Hii sirikali ya sisi si M hii!!! we iache tu!!!! siku yao ipo! watakapo tamani ardhi ipasuke!
Nini tena kwa kosa gani na kwa nini, au kukataa kuhojiwa sasa patachimbika tusubiri!!!!Kamanda Mbowe, Dr Slaa na Lema wako central, tuungane kwenda pale ili tutumie nguvu ya umma asubuhi hii. Saa ya ukombozi ni sasa.
Nenda mwenyewe
kwa sababu huko wachaga ni wengi[SIO KWA SABABU HUKU WACHAGA NI WENGI BALI WAKAAZI WAKE WANAJUA HAKI ZAO?