Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Hapa hamna jipya..ni yale yale ya kila siku tuliyoyazoea!Linafanyiwa kazi miaka mingapi? Deadline ilikuwa lini? Miaka kadhaa imepita bado linafanyiwa kazi. Suala la Gr
een Finance na TANGOLD litafanyiwa kazi lini? Unataka kashfa mpya zipi? Mbona zimeshaibuliwa au hadi aibue Slaa?