Kumbe dereve wa Dr.Slaa ni mkewe?
Just a joke.
..wanasema mlaji mla leo, mla jana kala nini?
mzee anapendwa huyu ndo maana anakuwa kijana kila kukicha! Raha kupendwa babu we!
..wanasema mlaji mla leo, mla jana kala nini?
Thank u Superman kwa kutuhabarisha..
Nimefurahishwa na kauli ya mama Slaa kuhusu malezi ya watoto lazima yaanzie kwenye malezi ya kiroho....huu ni ujumbe mzito kwenye jamii yetu ambapo mahusiano ya mtoto na ulimwengu dunia hupewa kipaumbele badala ya mahusiano ya mtoto na Mwenyezi Mungu.....
Ahsante sana Superman I was late lakini nimehabarika. Hivyo hivyo mkuuMkuu, nakuaminia sana na hata Avatar yako inashabihiana na unachosema . . .
Ila mkuu, unapotembelea yale majukwaa mengine, usiingie na Avatar ya kitabu kitakatifu . . . . . haaa haaa jukwaa linaweza kichomwa moto!
Mkuu, nakuaminia sana na hata Avatar yako inashabihiana na unachosema . .
Ila mkuu, unapotembelea yale majukwaa mengine, usiingie na Avatar ya kitabu kitakatifu . . . . . haaa haaa jukwaa linaweza kichomwa moto!