Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa atazindua kampeni za udiwani kata ya Daraja mbili Arusha Jumamosi 6.10.2012.Uchaguzio wa kata hii unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo kupitia ccm