Dr. Slaa kuunguruma Kilosa leo.

Gilo
Mkuu shaka ondoa ulinzi upo wa kutosha..na kwa sasa dua ya kiislamu inasomwa..
Huwa tunaanza na Mungu na kumaliza na....

na tunamaliza na Mungu yaani hakuna kulala mpaka kieleweke
 
Last edited by a moderator:
Kalaga bao. Madaktari wamegoma,walimu wamegoma,...manesi wamegoma kunanini....
Lakini Crashwise hizi mikutano mbona zimekuwa mingi sana, Mwezi wa Tano it was Lindi and Mtwara, Heche alikuwa Ifakara last week lakini saa hizi kuna taarifa kwamba yuko Tarime, yule katibu wake sijui mwenyekiti msaidizi naye amesisika pande za mbeya last week, kuna post nimeona hapa inasema M4C imevuna watu newala, kuna gazeti nimesoma jana linasema Operasheni vua gamba vaa gwanda imefanya nini sijui ngorongoro, Lema alikuwa London, mara ghafla nikamuona kwenye Luninga serena hotel Dar, Juzi house Girl wangu kachelewa kupika eti alikuwa kwenye mkutano wa CHADEMA tabata, Kuna post imo humu inasema Mbowe anakwenda USA, Tena ingine inamwenyekiti wa CHADEMA UK anaongea na nani sijui? ni nini hasa tatizo?
 
Mkuu Lyimo kwa kuongezea huu mkoa wananchi wake wengi wanawakumbatia wahindi na waarabu kama viongozi wao . mfano yule gaba choli mwenye mabasi ya Dar moro huwa anatoa rushwa ya usafiri wa bure wakati wa uchaguzi kwahiyo slaa anawapa somo jinsi hao maga bacholi wanavyowaibia

Inasikitisha kwa kweli mtoto wa kiume kuwa na wivu kiasi hicho wahindi na waarabu kwani sio Watanzania...kwa hiyo Mbowe na Slaa nao wanamkumbatia muhindi Sabodo...acha ubaguzi wa kipuuzi.
 
Inasikitisha kwa kweli mtoto wa kiume kuwa na wivu kiasi hicho wahindi na waarabu kwani sio Watanzania...kwa hiyo Mbowe na Slaa nao wanamkumbatia muhindi Sabodo...acha ubaguzi wa kipuuzi.
Kwi!kwi! Kwi! Teh mkuu wangu sobodo Ana cheo gani CDM?
 
haaaaaaa(kicheko)kazi kweli kweli.`2015 chadema isiposhinda ,naacha siasa,..`Mh Mbowe Freeman.Kamanda alikuwa serious.Naaza kuona maana ya maneno yake.Msisahau kuchangia sh 50,1oo,1000 nk wakati wakipitisha bakuli.
 
Kwani morogoro kuna nini? Wiki ya Pili hii Docta yuko uko, kuna nini morogoro?
Kuamsha watu waliolala na kusahau Muda wa jua kuchomoza sio Kazi ndogo!! Eeh Mungu endelea kutupa pumzi tuyashuhudie Mabadiliko ya kweli!!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom