Mtu66
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 165
- 3
Ndiyo maana mwandishi wa habari hizo kaandika Moshi mjini, Mbeya mjini, Mtwara na Songea mjini!!!Hebu tembelea hapa nyie wote mnaofikiri mambo yanaenda kimjini mjini au unahitaji picha za mikoani.
bonyeza hapa chini.
Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua
Mpaka Kieleweke
vipi tena? mbona hatupati taarifa za yaliyojiri hapo Jangwani?
Ndiyo maana mwandishi wa habari hizo kaandika Moshi mjini, Mbeya mjini, Mtwara na Songea mjini!!!
Sijaona neno vijijini.
Naomba msaada nikumbushe ile blog ya Friends of slaa naitafta siioni
Unataka kila kijiji wanachopita wakipige picha halafu wakutumie wewe vipi, hata rais huwa haletewi picha za vijiji vyote.Ndiyo maana mwandishi wa habari hizo kaandika Moshi mjini, Mbeya mjini, Mtwara na Songea mjini!!!
Sijaona neno vijijini.
Mimi nilikuwa kwenye mkutano. Sikuwa na network huko. Ila mambo yalinoga kweli kweli.
Kwa taarifa yenu, Slaa kapata wadhamini zaidi ya milioni 1.3; na zoezi bado linaendelea. Mahali kama Zenji wamepata wadhamini elfu chache tu. Lakini sio mbaya, kwani minimum ni mia mbili kila mkoa. Nami nimejiandikisha leo kuwa mmoja wa wadhamini.
Mkuu, kuwa mkweli na hali halisi ya jangwani leo ukifananisha ni mikoani ambako watu walikuwa wanakuja kushangaa kwa kuwa hawana kazi za kufanya muda huo Slaa anajipitisha! Elezea hali halisi ya Zenj na mustakabali wa Urais wa Slaa. Be straight to the point na nadhani ndiyo maudhui ya JF. Ndiyo ukweli na uwazi ambao tunautegemea. Hamna campaign hapa kwani wote tuko macho,,, noma!
This is one of the most strange posts I have ever seen here in the forum. Yaelekea CCM maji ya shingo.
Mwaka huu hadi kieleke hakuna kulala, wewe huzijui siasa za zanzibar mwambie Kikwete aende Pemba kama hataambulia rangi ya kijani tupu tena walioletwa kwa chai maharage.Mkuu, kuwa mkweli na hali halisi ya jangwani leo ukifananisha ni mikoani ambako watu walikuwa wanakuja kushangaa kwa kuwa hawana kazi za kufanya muda huo Slaa anajipitisha! Elezea hali halisi ya Zenj na mustakabali wa Urais wa Slaa. Be straight to the point na nadhani ndiyo maudhui ya JF. Ndiyo ukweli na uwazi ambao tunautegemea. Hamna campaign hapa kwani wote tuko macho,,, noma!
Mwaka huu hadi kieleke hakuna kulala, wewe huzijui siasa za zanzibar mwambie Kikwete aende Pemba kama hataambulia rangi ya kijani tupu tena walioletwa kwa chai maharage.
Hata mimi naona kweli mpo mpo tu kama hamupo hakuna la maana mnalolifanya likaonekana, eti tunaambia CCM imejichimbiwa sijui mstuni si waseme tu wamejichimbia kaburini kwani nani hajui, kanyaga twende chadema hakuna kulala.Yaani, bado tupo tupo sana mzee.
Hata mimi naona kweli mpo mpo tu kama hamupo hakuna la maana mnalolifanya likaonekana, eti tunaambia CCM imejichimbia sijui mstuni si waseme tu wamejichimbia kaburini kwani nani hajui, kanyaga twende chadema hakuna kulala.
Hata mimi naona kweli mpo mpo tu kama hamupo hakuna la maana mnalolifanya likaonekana, eti tunaambia CCM imejichimbiwa sijui mstuni si waseme tu wamejichimbia kaburini kwani nani hajui, kanyaga twende chadema hakuna kulala.
Mimi ni mpemba
Pole sana na maumivu, hakuna lolote ulilosema hapo wote ni umbea tupu, kajiandae tena uje, mbwabwajaji mkuu wenu Makamba kanywea hana hata moja kwa Dr. wewe ndo utaweza, fisi kaushindwa mfupa wewe utauweza?Huyu bwana Slaa. Disqualification zake:
1. kwanza alikuwa padre, akahasi. Hiyo ni dalili kubwa sana ya udhaifu. Anaweza uza nchi huyu kwa kuwa hana msimamo.
2. Alikuwa CCM, mpaka leo sisi tunajua tuko naye. Alipogigwa chini 1995 akahamia upinzani. Siyo mpinzani halisia. Mkewe anataka kufuata hiyo.
3. Analalamika kuhusu mishahara midogo ya waalimu, yeye hatuwahi sikia amechangia chochote kwa lolote katika maendeleo ya popote
4. Sidhani kama mtu yoyote hapa JF akipata file chafu akaenda mwembeyanga kutangaza, tukamwona safi kuanzia siku hiyo. Usafi ni tabia.
5. Huyu ana nyumba ndogo lukuki kila sehemu, disqualification kubwa sana. Dodoma ana wanawake watano.
6. Security-wise, baadhi ya mambo hata senators wa US hawawezi sema. He is incompetence. Tutamnyung'unyiaa hapo
7. Alikuwa hana mpango wa Urais. Amelazimishwa. Urais siyo wa kulazimshwa. Ni plans za miaka mingi. Anaweza tuyumbisha huyu
8. Watu alionao ni wachafu sana,, hatutegemei mtu kama yeye akawa na watu wa namna hiyo.
9.Anyway, hakuna room inaitwa "President from chadema this year".
10. Too late to do anyrthing.
Mungu Ibariki Tanzania. Mungu wape hekima watu wake waweze jua wanalofikiria
Huyu bwana Slaa. Disqualification zake:
1. kwanza alikuwa padre, akahasi. Hiyo ni dalili kubwa sana ya udhaifu. Anaweza uza nchi huyu kwa kuwa hana msimamo.
2. Alikuwa CCM, mpaka leo sisi tunajua tuko naye. Alipogigwa chini 1995 akahamia upinzani. Siyo mpinzani halisia. Mkewe anataka kufuata hiyo.
3. Analalamika kuhusu mishahara midogo ya waalimu, yeye hatuwahi sikia amechangia chochote kwa lolote katika maendeleo ya popote
4. Sidhani kama mtu yoyote hapa JF akipata file chafu akaenda mwembeyanga kutangaza, tukamwona safi kuanzia siku hiyo. Usafi ni tabia.
5. Huyu ana nyumba ndogo lukuki kila sehemu, disqualification kubwa sana. Dodoma ana wanawake watano.
Mambo yepi? Hawasemi mambo yanayogusa usalama wa nchi yao, lakini kama kuna ufisadi kwenye deals za majeshi watasema. Kama kile anachosema Dr. Slaa kingekuwa kinahatarisha usalama wa taifa, sasa hivi angekuwa gerezani siku nyingi. Hakuna mahakama inaweza kumfunga kwa kusema kile ambacho kina maslahi kwa nchi na wapiga kura wake na ndiyo maana hata yale madudu ambayo serikali inaita ni SIRI yeye anayo na anatembea nayo na alimwambia Mh. Pinda aende kumshika maana ana manyaraka kibao yenye nendo ya serikali na mhusi wa SIRI.6. Security-wise, baadhi ya mambo hata senators wa US hawawezi sema. He is incompetence. Tutamnyung'unyiaa hapo
7. Alikuwa hana mpango wa Urais. Amelazimishwa. Urais siyo wa kulazimshwa. Ni plans za miaka mingi. Anaweza tuyumbisha huyu
8. Watu alionao ni wachafu sana,, hatutegemei mtu kama yeye akawa na watu wa namna hiyo.