Du Bois ideas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 427
- 82
Naunga mkono hoja kwa 110%. Dr. jenga chama kwa nchi siyo ubanwe tena na ubunge
<br />slaa asilimia 26 ya kura mrema asilimia 28. hata taahira anaweza kuona tofauti hiyo.
Weka sababu ueleweke vizuri, kumbuka Common sense is not common to all. Au tatizo lake kubwa ni kutokuvaa barakashia?? (Nafikiria tu)Kastuka! kaona huko ni kwenda kujiadhirisha, hakubaliki na sababu ziko wazi kabisa.
sasa hayo ya mrema yametoka wapi watanzania kuwen makin mnapotaka kuchangia mada tunaongelea kuhusu simba wa tanzania ujui ulipotoka wala unapokwenda anakubalika kote mbona kaachia urais kaenda mp kaona ile ndo saiz yake jina lako zuriiii hila mgumu wa kuelewa na pia mwepes wa kusahauhata akigombea atashindwa. Dume la mbegu alikuwa mrema tu mwenye uwezo wa kushinda popote.
Mrema alikuwa kiboko. Akaenda kugombea kule kwa mafundamentalists temeke na bado kaibuka kidedea.
Slaa hayawezi ya baba mrema. Aendelee kuchakachua ruzuku makao makuu na kukwepa kulipa kodi.
hata akigombea atashindwa. dume la mbegu alikuwa mrema tu mwenye uwezo wa kushinda popote.
mrema alikuwa kiboko. .
<br />ukiona libaba lizima linaanza kutukana jua hoja zimemwishia kwenye bichwa. kalale usituonyeshe utupu wako.
<br />sasa hayo ya mrema yametoka wapi watanzania kuwen makin mnapotaka kuchangia mada tunaongelea kuhusu simba wa tanzania ujui ulipotoka wala unapokwenda anakubalika kote mbona kaachia urais kaenda mp kaona ile ndo saiz yake jina lako zuriiii hila mgumu wa kuelewa na pia mwepes wa kusahau