- Thread starter
- #21
Hakuna ubishi hapo kamanda
Kamanda Rachel kama upo huko kesho tunaomba Live Couverage
Hakuna ubishi hapo kamanda
Kiongozi wa Upinzani nchini Dr Wilbroad P.Slaa kesho anatarajiwa kuunguruma mkoani Shinyanga.Kiongozi huyo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA atatikisa katika mkutano wa kumnadi mgombea Udiwani wa CDM katika kata ya Mwawaza.
Habari za awali zinasema kuwa baba mzazi wa mgombea udiwani wa CDM anatarajiwa pia kupanda jukwaani kuelezea jinsi alivyohongwa ili amsingizie mwanae ni mwizi katika moja ya mikutano ya CCM.
Kuna shamrashamra kubwa hapa Shinyanga kuashiria ujio wa kiongozi huyo mashuhuri nchini.Mpaka sasa tathmini za awali zinaonyesha CDM ina uwezo wa kushinda kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura.
Nawaamia sana shemeji zangu ghete ghete!!! kula ccm kura Chadema.
Rushwa aka ufisadihahahahaha......!!! Kwikwikwi....! Nimeipenda.Je,(ms,ff & ritz)na wao kizazi kipi?
Kamanda Rachel kama upo huko kesho tunaomba Live Couverage
Niko dar kamanda narudi ijumaa,ila wapo wa makamanda itakuwa live moja kwa moja!
Tunakushukuru sana Kamanda kwa updates makini sana.Tunachohitaji ni ushindi wa kishindo.
Kamanda ni ushindi hapo,na Dr Slaa ndo anakwenda Kumalizia kumsukuma mlevi!!!!
Pamoja sana Kamanda.Sasa inabidi huu muda uliobaki Kamanda wa ardhini Dr Slaa azunguke kata zote kuhamasisha ushindi.
Molemo, Jasusi, Pasco, Mzee Mwanakijiji,
..hivi Dr.Slaa a.k.a kibabu ana matatizo gani yeye haendi ulaya na marekani kufungua matawi kama wenzake? naona kizee hiki na shuka lake kimengangania hapahapa bongo tu nje hakitaki kwenda. au kinaogopa kupanda ndege??
Waulize CCM katibu wao Mukama yupo upande gani Ndani ya nchi hasikiki wala haonekani na hata huko nje haonekani wala hasikiki.
Huyu Dr. Bunduki/ Slaa mwanzoni nilisikia Geita leo tena nasikia Shinyanga, Geita ilikuwaje?. Huyu mzee naye kweli akipanda jukwaani kwa sera kama hii na akapigiwa makopi asifikili kaongea point bali atakuwa anazihakiwa. Hivi kweli hata kama ni ushawishi, utumiwe kumtukana mtoto wako au ni wakusingiziwa?.
Si kila aniitae Baba Baba atauona ufalme wa mbinguni.
Sasa hivi hakuna cha ndoho tabu kamanda!! Wamesimama si mchezo
yani nikipafikiria kwetu shinyanga walivyoamka nasikiaje raha kiukweli shinyanga ndio ngome ya cdm asante bob makani,shelembi na mzee luhende mungu awape amani ya milele uko mlipo kwani nyie ndio chachu ya haya tunayoyashuhudia shinyanga.
Yani nikipafikiria kwetu SHINYANGA walivyoamka nasikiaje raha kiukweli SHINYANGA ndio ngome ya CDM asante BOB MAKANI,SHELEMBI na MZEE LUHENDE Mungu awape amani ya milele uko mlipo kwani nyie ndio chachu ya haya tunayoyashuhudia SHINYANGA.
Kiongozi wa Upinzani nchini Dr Wilbroad P.Slaa kesho anatarajiwa kuunguruma mkoani Shinyanga.Kiongozi huyo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA atatikisa katika mkutano wa kumnadi mgombea Udiwani wa CDM katika kata ya Mwawaza.
Habari za awali zinasema kuwa baba mzazi wa mgombea udiwani wa CDM anatarajiwa pia kupanda jukwaani kuelezea jinsi alivyohongwa ili amsingizie mwanae ni mwizi katika moja ya mikutano ya CCM.
Kuna shamrashamra kubwa hapa Shinyanga kuashiria ujio wa kiongozi huyo mashuhuri nchini.Mpaka sasa tathmini za awali zinaonyesha CDM ina uwezo wa kushinda kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura.
Molemo, Jasusi, Pasco, Mzee Mwanakijiji,
..hivi Dr.Slaa a.k.a kibabu ana matatizo gani yeye haendi ulaya na marekani kufungua matawi kama wenzake? naona kizee hiki na shuka lake kimengangania hapahapa bongo tu nje hakitaki kwenda. au kinaogopa kupanda ndege??