Dr Slaa kutikisa kanda ya Ziwa

All the best Dr. Na makamada wote, nimefrahishwa na kutangaza sera ya kuingiza wanachama wapya.
 
Tuwaobeeni makamanda kwani kazi wanayofanya si rahisi bali ni ngumu sana Mungu awatangulie ktk safari yao. Amen
 
Kiongozi mkuu wa upinzani na mwanasiasa machachari nchini Dr Wilbrod Slaa anaanza ziara ya siku kumi katika mikoa ya Tabora,Shinyanga na Mwanza.

Dr Slaa ambaye pia ni katibu mkuu wa CDM anaanza ziara hiyo leo na atafuatana na watendaji na maafisa mbalimbali kutoka makao makuu ya CDM.

Ziara hiyo ya Dr Slaa itachukua siku kumi na pamoja na mambo mengine atakagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na chama chake,kufanya mikutano ya ndani na wanachama pamoja na viongozi katika kila eneo na pia kuhutubia mikutano ya hadhara kutangaza sera na kuingiza wanachama wapya.

Source:Nipashe.

UNGEANDIKA HIVI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasiasa Machachari nchini Dr W.P.SLAA anaanza ziara ya siku kumi ktk mikoa ya......etc....etc....etc UNGEKUWA SAHIHI ZAIDI.Hata ivo umejitahidi sana,nakupa B+
 
UNGEANDIKA HIVI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanasiasa Machachari nchini Dr W.P.SLAA anaanza ziara ya siku kumi ktk mikoa ya......etc....etc....etc UNGEKUWA SAHIHI ZAIDI.Hata ivo umejitahidi sana,nakupa B+

Mkuu nimecheka sana.
 
jamani ziara ya Mbeya itakuwa lini? tumewamisssss sanaaaaaaa
[JFMP3][JFMP3][/JFMP3][/JFMP3]
 
Kila siku huwa nasikia Slaa vs Kanda ya ziwa, Arusha na Kilimanjaro. Sijui ni lini itakuwa...
Topic: Dr Slaa kutikisa Pwani
Topic: Dr Slaa kutikisa Mtwara
Topic: Dr Slaa kutikisa Tanga
Topic: Dr Slaa kutikisa Lindi
Topic: Dr Slaa kutikisa Singida
Topic: Dr Slaa kutikisa Zanzibar
Topic: Dr Slaa kutikisa DSM

Kote huko ni suala la muda tu, ila Dar tayari imeshapigwa nusu.
 
Kiongozi mkuu wa upinzani na mwanasiasa machachari nchini Dr Wilbrod Slaa anaanza ziara ya siku kumi katika mikoa ya Tabora,Shinyanga na Mwanza.

Dr Slaa ambaye pia ni katibu mkuu wa CDM anaanza ziara hiyo leo na atafuatana na watendaji na maafisa mbalimbali kutoka makao makuu ya CDM.

Ziara hiyo ya Dr Slaa itachukua siku kumi na pamoja na mambo mengine atakagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na chama chake,kufanya mikutano ya ndani na wanachama pamoja na viongozi katika kila eneo na pia kuhutubia mikutano ya hadhara kutangaza sera na kuingiza wanachama wapya.

Source:Nipashe.

Naomba asiishie mjini 2, aende mpaka vijijini, au hata makao makuu ya kata au tarafa.
 
Kila siku huwa nasikia Slaa vs Kanda ya ziwa, Arusha na Kilimanjaro. Sijui ni lini itakuwa...
Topic: Dr Slaa kutikisa Pwani
Topic: Dr Slaa kutikisa Mtwara
Topic: Dr Slaa kutikisa Tanga
Topic: Dr Slaa kutikisa Lindi
Topic: Dr Slaa kutikisa Singida
Topic: Dr Slaa kutikisa Zanzibar
Topic: Dr Slaa kutikisa DSM

Ingawa wewe ulieongea ni gamba, lakini unaukweli, nami nasema hivi bila kuteka mikoa ya Pwani, Mtwara, Tanga, Lindi, Singida na Zanzibar kushinda mwaka 2015 ni ndoto, kwani mikoa hiyo ndo magamba wataitumia kwenda kuibia kura na kupenyezea kura za wizi. CDM tufanyiie kazi ushauri huu
 
Nawasubiri Makamanda huku SIKONGE.

Dr. Slaa aliniahidi wakati wa uchaguzi atafika hadi huku kwetu SIKONGE ila hakufika, too sad.

Najua majukumu yalikuwa mengi ila ntaomba sana mfike walau kwenye tarafa kadhaa na mwisho kufanya mkutano mkubwa sana hapo SIKONGE mjini ambapo itakuwa vizuri Sugu na Nassari wakiwepo.

Anyway, hata hivyo kwa ujumla karibuni sana TABORA.

Sikonge
labda taarifa imekupita pembeni. Mwezi Oktoba 2011 nilifika Sikonge na kufanya mikutano ya Kampeni ya udiwani vijiji viwili na kufanya mkutano mkubwa Sikonge mjini. Ahadi ilitimizwa mkuu.
 
Ingawa wewe ulieongea ni gamba, lakini unaukweli, nami nasema hivi bila kuteka mikoa ya Pwani, Mtwara, Tanga, Lindi, Singida na Zanzibar kushinda mwaka 2015 ni ndoto, kwani mikoa hiyo ndo magamba wataitumia kwenda kuibia kura na kupenyezea kura za wizi. CDM tufanyiie kazi ushauri huu

Aminia viongozi wako mkuu.Kila kitu kiko kwenye Pipe!
 
Sikonge
labda taarifa imekupita pembeni. Mwezi Oktoba 2011 nilifika Sikonge na kufanya mikutano ya Kampeni ya udiwani vijiji viwili na kufanya mkutano mkubwa Sikonge mjini. Ahadi ilitimizwa mkuu.

Sijui nikuite Rais au Mh Dr.W Slaa, lini utakuja kwetu Tanga? Kila siku tunakusikia upo Kanda ya Ziwa na sisi huku Tanga tunahitaji ukombozi wenu my President
 
sipati picha siku polisi ,,,,watakapo waambia ccm ,,,yatosha sisi ni sehem ya watesekao tusio na maisha bora,,,wanao hitaji ukombozi ni baba mama kaka na dada zetu,,,,babu, shangazi na wenetu,,,,tunataka wenetu wasome shule nzuri,,,wazazi wetu wapate matibabu,,maji...umeme nk,,,,...ole walioko mlimani hawata shuka,,,,mabonden hawata kwea,,,ole wenye mimba,,,,,,maana watataman,,,,,,,,,,ona wataigeuzia mitutu kule waliko toka,.watoa amri ccm watakuwa wapi........heri mimi sijasema,,,,,,,,,
 
dr slaa msisahau kuwekeza upren ni aibu lakini watbadilika tu,,,,yaaaan naona huruma,,,,usambaan na uziguan,,,,,ukanda huu tunahitaji hata maombi ya kufunga wafunguke.........tuvamwe,,,,,,natangaza nia same maghribi,,,,hariiiiiiikah ,,,,,,nresari,,,,,
 
Back
Top Bottom