Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Tehe tehe tehe, katika pilika pilika nilikutana na jamaa mmoja kutoka ethiopia akaniuliza kuwa JK mgonjwa? Nikamhoji kwanini umeuliza akasema kumbukumbu zake zinamtuma JK na Hayati PM wao pamoja na yule wa ghana walikuwa na faragha sana labda walikuwa wanajadiliana afya zao! Nikacheka nikamwambia itakuwa masuala ya kilimo maana walihudhuria mkutano USA pamoja. Akaguna akasema haya mwanaHakika Dr Slaa afya yako ni ya uhakika maana kila siku upo barabarani na huchoki angekuwa yule Baba Mwanaasha sasa Hivi Chali