Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Nape anaweza akalia kama kasi ya Chadema ndiyo hii sijui kama gambaz watapona
Hakika Dr Slaa afya yako ni ya uhakika maana kila siku upo barabarani na huchoki angekuwa yule Baba Mwanaasha sasa Hivi Chali
Idiot.......
Mtume gani yule Muhindi wa Agape TV.
Nape,ukianza kufukia mashimo ya chadema utaanzia Moro au Igunga?maana naona kama unarundika kazi
Umekuwa mkiwa mno hapa jamvin badiliasha hata avatar basiha haa haaa, mbona hiyo kazi ndio ya yenu nyie Pro-Chadema JF kila mmoja lazima ana ID zaidi ya 3 kama Tuntemeke yeye anazo 19.
Halafu kikao chao kilikuwa na posho pamoja na PilauKama kawaida,muda muafaka si unajua jana ccm walikuwa na kikao ikulu? Leo sisi tunakikao na raia wa igunga.
Muda muafaka.
Hakika Dr Slaa afya yako ni ya uhakika maana kila siku upo barabarani na huchoki angekuwa yule Baba Mwanaasha sasa Hivi Chali
Yule jamaa mwenye Raba kubwa kuliko mguu wake?mkuu, dakta slaa hatembei na msururu wa madaktari na ambulensi kama jamaa yetu.
Tehetehe
Kazi unayo mwaka huu kuitetea CCM...Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
aiseee babaangu ningejua jinsia yako ningefurai sana ili nikupe jana lako,,kama ni wakike we ni gamba la kike na kama ni wakiume we ni gamba la kiume ila oll in all we ni gamba 2
ngoja ningoje mbege hapa