Dr Slaa kutikisa Igunga leo

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kiongozi wa upinzani nchini ambaye pia ni Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa leo anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Igunga kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano waliyokionyesha chama chake mpaka pale mahakama ilipotengua ubunge wa CCM ambao haukuwa halali.
Dr Slaa ambaye anaongoza operesheni M4C mkoani Morogoro imemlazimu kuwaacha makamanda wengine huku yeye na baadhi ya maafisa wakielekea Igunga.Kiongozi huyo amefuatana na Mkiti wa chama mkoa wa Tabora Kansa Mbarouk.
Mara baada ya kuunguruma Igunga leo ataondoka kurejea Morogoro ambapo Jumatatu atakuwa mgeni rasmi katika hitimisho la M4C mkoani Morogoro kwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Morogoro,mkutano unaotarajiwa kuutikisa mkoa mzima na kanda ya kati kwa ujumla kutokana na shauku kubwa wananchi waliyo nayo.

Source:Tanzania Daima.

Slaa+kuhutubia+3.jpg

Katibu Mkuu wa Chamacha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa mji wa Igunga na vitongoji vyake, katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi kwa ushiriki wao katika kufanikisha kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga.
Picha+ya+mbele.jpg
Aliyekuwa mgombea wa jimbo la Igunga katika uchaguzi mdogo mwaka jana, kupitia Chadema, mwalimu Joseph Kashindye na aliyekuwa meneja wa kampeni, Slyvester Kasulumbai, wakiwasili kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga, ambako kulifanyika mkutano wa hadhara.Picha zote na Joseph Senga)
 
Kamanda Molemo tunashukuru kwa taarifa hii.
Piga kazi kiongozi wetu Dr. Slaa, watanzania bado wana imani kubwa sana na wewe kwa ajili ya ukombozi wa pili wa Tanzania.

M4C with no apology!
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi wa upinzani nchini ambaye pia ni Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa leo anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Igunga kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano waliyokionyesha chama chake mpaka pale mahakama ilipotengua ubunge wa CCM ambao haukuwa halali.
Dr Slaa ambaye anaongoza operesheni M4C mkoani Morogoro imemlazimu kuwaacha makamanda wengine huku yeye na baadhi ya maafisa wakielekea Igunga.Kiongozi huyo amefuatana na Mkiti wa chama mkoa wa Tabora Kansa Mbarouk.
Mara baada ya kuunguruma Igunga leo ataondoka kurejea Morogoro ambapo Jumatatu atakuwa mgeni rasmi katika hitimisho la M4C mkoani Morogoro kwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Morogoro,mkutano unaotarajiwa kuutikisa mkoa mzima na kanda ya kati kwa ujumla kutokana na shauku kubwa wananchi waliyo nayo.

Source:Tanzania Daima.

Mpaka wakae mwaka huu.Mungu awatangulie makamanda katika harakati za ukombozi
 
Ataruhusiwa kufanya mkutano wa aina hiyo kweli wakati suala zima limo kwenye mchakato wa kukatiwa rufaa mahakamani?...just joking!

Kwa hakika Dr Slaa ameamua maamuzi ya haraka na yenye akili kama vile kipanga anavyokamata kifaranga cha kuku, hakuna kuremba mawazo, maana angesubiri jamaa wakate rufaa tayari asingekuwa na loophole hiyo, policcm wangembeba msobemsobe.
Nimegundua kuwa M4C ni kama EBOLA inaua ndani ya sekunde!
 
Kamanda Molemo tunashukuru kwa taarifa hii.
Piga kazi kiongozi wetu Dr. Slaa, watanzania bado wana imani kubwa sana na wewe kwa ajili ya ukombozi wa pili wa Tanzania.

M4C with no apology!

Pamoja sana Kamanda Mwita.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Molemo tunashukuru kwa taarifa hii.
Piga kazi kiongozi wetu Dr. Slaa, watanzania bado wana imani kubwa sana na wewe kwa ajili ya ukombozi wa pili wa Tanzania.

M4C with no apology!

Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Nape,ukianza kufukia mashimo ya chadema utaanzia Moro au Igunga?maana naona kama unarundika kazi
 
sijawai kupungukiwa imanh na Dr.Slaa Mungu akuzidishie nguvu na afya bora,maana watanzania waliokata tamaa na maisha wanaimani na wewe kuliko unavyofikiria.!
 
Back
Top Bottom