Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Taarifa za awali zinasema mkutano huo pia utatumika kufuta nyayo za chama cha CUF ambacho kilisomba watu Dar-es-Salaam kwenda kuwahutubia Arusha ili kuepuka aibu ya kukosa watu.
Mkuu, mbona kafu hawakuacha hizo nyayo! Walikuja na watu wao, wakawahutubia, wakaondoka nao!