OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu!
Jumamosi jiji la mwanza litakuwa kwenye hekaheka za ujio wa Dr Slaa atakapo kuwa akielekea Chuo kikuu cha SAUT -Malimbe kuongoza kongamano la kitaaluma kwa vijana wote toka vyama vyote, dini zote, rangi zote etc.
Vyombo vya Usalama a.k.a wazee wa Intelligencia tafadhari timizeni wajibu wenu na wala si kutuingilia kama kawaida yenu. Nchi hii ina matatzo mengi mno kamavile ufisadi, wizi wa rasilimali zetu etc.
Jumamosi jiji la mwanza litakuwa kwenye hekaheka za ujio wa Dr Slaa atakapo kuwa akielekea Chuo kikuu cha SAUT -Malimbe kuongoza kongamano la kitaaluma kwa vijana wote toka vyama vyote, dini zote, rangi zote etc.
Vyombo vya Usalama a.k.a wazee wa Intelligencia tafadhari timizeni wajibu wenu na wala si kutuingilia kama kawaida yenu. Nchi hii ina matatzo mengi mno kamavile ufisadi, wizi wa rasilimali zetu etc.