Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Haya ndiyo mambo muhimu ya kuongolea, sheria zimevunjwa, pesa za umma kutumiaka bila utaratibu maalum. Masuala kama haya ndiyo yanayogusa moja kwa moja maslahi ya watanzania kuliko kuongelea personal issues za upadri wa Slaa ambao haunisaidii.
Ni ukiukwaji wa wazi wa sheria. Ingekuwa nchi zilizoendelea hata angejiuzulul
_______________________________________________
" But whoso looketh into the perfect law of liberty, and continueth therein,
he being not a forgetful hearer, but a doer of the work, this man shall be
blessed in his deed." James 1:25: