FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Asha,
Hili swali la mwisho limenichekesha sana.
Nimekwambia hapo juu hypotheses katika siasa si mara nyingi kuleta matokeo mazuri...mm sitegemei sana...unaweza kuwa right hapo.
Rudi kwenye ile nukta yako kuwa Dr.Slaa akigombea naweza akashawishi majimbo kumi zaidi ya hilo moja la Karatu...sawa...nikakueleza kuwa kama ni hivyo basi,mbona mmefanya kinyume nyume...kama kusudi lenu ni majimbo na si kura za urais!
Kama kusudi ni majimbo, kura zipo vijijini na kama mngejiimarisha huko,mgombea yoyote anaweza kusimama akashawishi.
O.k, tuje kwenye operesheni sangara..ambayo kwayo unadai chadema inanafasi kubwa ya kushinda majimbo kuliko CUF,kama nitakubaliana na wewe kwa hili, basi ile hoja yako ya kuwa Dr.Slaa akisimama kama candidate wa urais atashawishi majimbo kumi zaidi,itakuwa haina mashiko hapa.
Kwa hiyo mum release Slaa katika kubeba msalaba huu.
Una point mkuu