Dr Slaa kugombea Urais, mafisadi wajipanga kummaliza

Asha,
Hili swali la mwisho limenichekesha sana.
Nimekwambia hapo juu hypotheses katika siasa si mara nyingi kuleta matokeo mazuri...mm sitegemei sana...unaweza kuwa right hapo.
Rudi kwenye ile nukta yako kuwa Dr.Slaa akigombea naweza akashawishi majimbo kumi zaidi ya hilo moja la Karatu...sawa...nikakueleza kuwa kama ni hivyo basi,mbona mmefanya kinyume nyume...kama kusudi lenu ni majimbo na si kura za urais!
Kama kusudi ni majimbo, kura zipo vijijini na kama mngejiimarisha huko,mgombea yoyote anaweza kusimama akashawishi.
O.k, tuje kwenye operesheni sangara..ambayo kwayo unadai chadema inanafasi kubwa ya kushinda majimbo kuliko CUF,kama nitakubaliana na wewe kwa hili, basi ile hoja yako ya kuwa Dr.Slaa akisimama kama candidate wa urais atashawishi majimbo kumi zaidi,itakuwa haina mashiko hapa.
Kwa hiyo mum release Slaa katika kubeba msalaba huu.


Una point mkuu
 
Asha,
Hili swali la mwisho limenichekesha sana.
Nimekwambia hapo juu hypotheses katika siasa si mara nyingi kuleta matokeo mazuri...mm sitegemei sana...unaweza kuwa right hapo.
Rudi kwenye ile nukta yako kuwa Dr.Slaa akigombea naweza akashawishi majimbo kumi zaidi ya hilo moja la Karatu...sawa...nikakueleza kuwa kama ni hivyo basi,mbona mmefanya kinyume nyume...kama kusudi lenu ni majimbo na si kura za urais!
Kama kusudi ni majimbo, kura zipo vijijini na kama mngejiimarisha huko,mgombea yoyote anaweza kusimama akashawishi.
O.k, tuje kwenye operesheni sangara..ambayo kwayo unadai chadema inanafasi kubwa ya kushinda majimbo kuliko CUF,kama nitakubaliana na wewe kwa hili, basi ile hoja yako ya kuwa Dr.Slaa akisimama kama candidate wa urais atashawishi majimbo kumi zaidi,itakuwa haina mashiko hapa.
Kwa hiyo mum release Slaa katika kubeba msalaba huu.


Junius

Kwanza niliposema kumi nilitaka kumaanisha makumi ndio maana nikasema zaidi ya.

Tayari CHADEMA imeonyesha uwezo wa kushinda wabunge wengi kwa kurejea matokeo ya chaguzi ndogo za ubunge zilizofanyika kuanzia Kiteto, Tarime, Mbeya Vijijini, Busanda na Biharamulo.

Hivyo, hata kama CHADEMA haitakuwa na mgombea urais bado itashinda majimbo. Lakini kama CHADEMA ikiwa na mgombea urais nguvu ya nyongeza itaongezeka katika kushinda majimbo mengi zaidi. Kwa kuwa mgombea urais ataongeza nguvu kwa kampeni zake katika majimbo ambayo yameshajengwa kutokana na operesheni Sangara na yana wagombea tayari.

Lakini pia nimesema kwamba kama CHADEMA na CUF wakiachiana kwenye urais, basi si tu kwamba majimbo yataongezeka bali pia ushirikiano huo utaishinda CCM ya Kikwete hata kwenye urais. Ndio maana nimetoa wazo, kwanini Dr Slaa asiungwe mkono na CUF na akishinda Lipumba awe waziri mkuu?

Hii ni kuweka msukumo mbele na nyuma(usinitafsiri kizanzibari) yaani kuweka kinara mzuri mbele Dr Slaa wakati huo huo umeshajenga mtandao mzuri chini kupitia Sangara na Zinduka!

Asha
 
Junius

Kwanza niliposema kumi nilitaka kumaanisha makumi ndio maana nikasema zaidi ya.

Tayari CHADEMA imeonyesha uwezo wa kushinda wabunge wengi kwa kurejea matokeo ya chaguzi ndogo za ubunge zilizofanyika kuanzia Kiteto, Tarime, Mbeya Vijijini, Busanda na Biharamulo.

Hivyo, hata kama CHADEMA haitakuwa na mgombea urais bado itashinda majimbo...
Hapa tunaweza kukubaliana bila shaka.
Kumbe awali ulikuwa unambie kuwa Chadema imeshajipanga tokea hapo,kama ulivyofafanua hapo juu...ikibidi hivyo,my conlusion is right kuwa mgombea yeyote,si lazima Dr.Slaa,nikiamini kuwa chadema ina wagombea wengine wazuri zaidi ya yeye,anaweza kusimama kushawishi majimbo zaidi.
Hata hivyo, kweli chadema inaweza kushinda majimbo zaidi bila ya kumsimamisha mgombea urais,then,kwa mawazo yangu, kwanini msiiunge mkono CUF,ambayo,kama ilivyo Chadema katika rekodi ya majimbo uliyotaja hapo juu, inarekodi nzuri katika kura za urais bara na visiwani karibu chaguzi zote,huoni hapo, kwa fomula mbadala,hisabu itabakia vile vile...Lipumba awe rais na Dr.Slaa au yeyote yule kutoka chadema awe waziri mkuu?
Bado ushirikiano utaendelea tena kwa nguvu tu.
 
Neither Silaa nor a person of his calibre is considered presidential material....maneno... maneno calibre makes good MPs not presiedents man!
Just imagine if you do not have mafisadi, then what would be Dr. Silaa's presidentail agenda? Simply none!
Silaa is not visionary. CDM watafute mgombea mwingine.
 
Back
Top Bottom