Xuma
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 683
- 196
Wapendwa ndugu WanaJF!
Kwanza poleni na majukumu popote mlipo.
Nafikiri sasa umefika mda tusome alama za nyakati na tuact kama intellectual wa kitanzania.
WKutokana na research niliyoifanya kwa miezi minne sasa nimegundua kuwa watanzania wengi kama vile wasomi, wafanyakazi sekta binafisi na serikalini, wanafunzi wa sekondari na vyuo vikuu na watanzania wote wengineo wote wenye upeo wa juu bila kujali tofauti za kidini, kijinsia, kielimu, umri kabila na eneo la kuzaliwa wanatambua kuwa Jakaya Mrisho Kikwete sio mtu amabaye anatoa uongozi wa maana kwa nchi yetu badala yake yuko pale kulinda maslahi yake na familia yake, rafiki zake (mafisadi) na kutafuta sifa tu.
Na wanatambua kuwa mtanzania pekee kwa sasa anayeweza kuwaunganisha na kusababisha umoja mshikamanao na man[endeleo kwa wantanzani wote ni DR. WILBROAD SLAA tu, japokuwa wapo wengi tu ila hawajitokeza isipokuwa Slaa (PhD).
Wito wangu kwa wanaJF:
tujitokeze na sio kubaki nyuma ya pazia la jf tukinadi sera kificho bali tutoke hapa tuwe live na kuwaongoza wote kudai mabadiliko nakutoa mawazo ya direct kusapoti na kushauri kwa Dr. Slaa.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARKI TANZANIA.
Kwanza poleni na majukumu popote mlipo.
Nafikiri sasa umefika mda tusome alama za nyakati na tuact kama intellectual wa kitanzania.
WKutokana na research niliyoifanya kwa miezi minne sasa nimegundua kuwa watanzania wengi kama vile wasomi, wafanyakazi sekta binafisi na serikalini, wanafunzi wa sekondari na vyuo vikuu na watanzania wote wengineo wote wenye upeo wa juu bila kujali tofauti za kidini, kijinsia, kielimu, umri kabila na eneo la kuzaliwa wanatambua kuwa Jakaya Mrisho Kikwete sio mtu amabaye anatoa uongozi wa maana kwa nchi yetu badala yake yuko pale kulinda maslahi yake na familia yake, rafiki zake (mafisadi) na kutafuta sifa tu.
Na wanatambua kuwa mtanzania pekee kwa sasa anayeweza kuwaunganisha na kusababisha umoja mshikamanao na man[endeleo kwa wantanzani wote ni DR. WILBROAD SLAA tu, japokuwa wapo wengi tu ila hawajitokeza isipokuwa Slaa (PhD).
Wito wangu kwa wanaJF:
tujitokeze na sio kubaki nyuma ya pazia la jf tukinadi sera kificho bali tutoke hapa tuwe live na kuwaongoza wote kudai mabadiliko nakutoa mawazo ya direct kusapoti na kushauri kwa Dr. Slaa.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARKI TANZANIA.