Dr slaa kalazwa moi

superfisadi

JF-Expert Member
May 22, 2009
553
52
Dr SLAA amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mkono aliovunjika
Anapatiwa matibabu Moi
Source wakili Albert Msando amesema mahakamani arusha leo asubuhi
 
Angalizo: kwenye mila zetu mwanamme akivunjika mkono/mguu na kazidi miaka 40 huwa anatenganishwa na mkewe/mpenzi mpaka apone.
 
Dr SLAA amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mkono aliovunjika
Anapatiwa matibabu Moi
Source wakili Albert Msando amesema mahakamani arusha leo asubuhi


Naona anaendelea vema tunae hapa kwenye Kongamano Mabibo.Kama kawaida anatoa elimu na kufungua ufahamu wa watu.
 
Alifanyiwa upasuaji mdogo lakini sasa hivi yupo Mabibo. Ukweli ni kwamba Dr ni mpambanaji. Pamoja na kuumwa kwake bado yuko mstari wa mbele kupambana haki itendeke. Mungu atambariki siku zote.
 
Alifanyiwa upasuaji mdogo lakini sasa hivi yupo Mabibo. Ukweli ni kwamba Dr ni mpambanaji. Pamoja na kuumwa kwake bado yuko mstari wa mbele kupambana haki itendeke. Mungu atambariki siku zote.

naomba alindwe zaidi ya mfalme pale moi. Hawachelewi kucheza dili na kumfanyia operation ya kichwa badala ya mkono. Plz plz,if my invisible president akifanyiwa hila yoyote,mi naingia barabarani. Dr.wa ukweli,ugua pole!wish u fast recovery!
 
Tunashukuru kama unaendelea vizuri kipenzi cha watanzania. Tunakusubiri uongoze mapambano ya kuikomboa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom