PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Nimesoma gazetini kuwa Dr Slaa amesema kwamba JK amejialika kwenye mkutano wa kitaifa wa CHAMA CHA WAALIMU unaotarajiwa kufanyika Songea hapo kesho 3/10/2010.
Je kama ni kweli inapokelewaje hii?
Wadau wa kutabiri mnadhani atawaahidi nini walimu huyu bingwa wa ahadi zisizotekelezeka?
Je kama ni kweli inapokelewaje hii?
Wadau wa kutabiri mnadhani atawaahidi nini walimu huyu bingwa wa ahadi zisizotekelezeka?