Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
a) Wagonjwa wanaotibiwa kwa mwaka wanakadiriwa kufika 1,080,000 katika hawa zaidi ya nusu ni kutoka katika mikoa ya kasikazini ikiongozwa na moshi na arusha.(branch ya CCBRT iko moshi
Mtoa hoja nina maswali machache ya ufahamu,
Mosi, Kama unasema branch CCBRT iko moshi, iweje wasukuma wa Shinyanga wawe wengi kutibiwa ktk hosp iliyoko Moshi walipo wachaga? Automatically mahali hosp. ilipo ndopo weneyeji wa mahali pale wanakuwa wengi. Labda unahoji kwanini ilijengwa Moshi, na mimi nakuuliza, (uzuri mimi si mchagga) kwanini isijengwe Moshi? wachaga hawaumwi? Hilo tawi lingekuwa Mbulu au Karatu kwa ndugu zake na shangazi zake at least hoja dhaifu ingepatikana. Other wise, hapa hujaitendea haki RUZUKU ya Nape aliyekutuma.
Pili, Dr Slaa siyo katibu wa Bodi ni m/kiti wa Bodi/ Rais wa Bodi hivyo,hahusiki na utendaji wa Kila siku ikiwepo kuajiri. Yeye kila siku yuko Chadema, tumhoji kuhusu Chadema.
Tatu, Dr Slaa siyo mchagga, yeye ni mwiraq wa Karatu. Karatu kijiografia iko mkoa wa MANYARA ambao uko kati ya mikoa ya kati na Kaskazini. Hata hivyo, enzi ya akina SUMAYE NA Mkapa walipeleka karatu Mkoa wa Arusha kwa sababu zao (za kisiasa?).
Mtoa hoja nina maswali machache ya ufahamu,
Mosi, Kama unasema branch CCBRT iko moshi, iweje wasukuma wa Shinyanga wawe wengi kutibiwa ktk hosp iliyoko Moshi walipo wachaga? Automatically mahali hosp. ilipo ndopo weneyeji wa mahali pale wanakuwa wengi. Labda unahoji kwanini ilijengwa Moshi, na mimi nakuuliza, (uzuri mimi si mchagga) kwanini isijengwe Moshi? wachaga hawaumwi? Hilo tawi lingekuwa Mbulu au Karatu kwa ndugu zake na shangazi zake at least hoja dhaifu ingepatikana. Other wise, hapa hujaitendea haki RUZUKU ya Nape aliyekutuma.
Pili, Dr Slaa siyo katibu wa Bodi ni m/kiti wa Bodi/ Rais wa Bodi hivyo,hahusiki na utendaji wa Kila siku ikiwepo kuajiri. Yeye kila siku yuko Chadema, tumhoji kuhusu Chadema.
Tatu, Dr Slaa siyo mchagga, yeye ni mwiraq wa Karatu. Karatu kijiografia iko mkoa wa MANYARA ambao uko kati ya mikoa ya kati na Kaskazini. Hata hivyo, enzi ya akina SUMAYE NA Mkapa walipeleka karatu Mkoa wa Arusha kwa sababu zao (za kisiasa?).