Kumbe Dr Slaa ni mtendaji mkuu/afisa mwajiri wa CCBRT na Mchagga? Kama data zako za watu wa kaskazini kutibiwa pale CCBRT ni sahihi, je kuna data za wagonjwa kutoka singida, dodoma etc kukatiliwa kutibiwa CCBRT?
"Kajipange upya, uje na hoaj yenye mshiko"
yani umemkata ngebe zote,lazima akimbie uzi huyo gamba
Mkuu Kengemumaji na wakuu wangu GT wa JF! Taasisi kama CCBRT ni kubwa na mambo mengi inayoyafanya hapa nchini kila mtu anaweza aka-google na kujisomea. Dr. Slaa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi. Shughuli za kila siku zinasimamiwa na Mtendaji Mkuu ambaye ni mzungu. Wanaandika ktk mtandao wao kwamba wanatibu wagonjwa 120,000 kwa mwaka. Ukisoma zaidi unaona wengi kati ya wagonjwa wa Fistula ambao wanatibiwa bure wanatokea mikoa ya Nyanda za Juu Kusini huko Njombe,Ludewa na Songea. Sikufanikiwa kupata gharama zao kwa huduma nyingine. Lakini mtu yeyote anaweza akaingia ktk wavuti yao ambayo ni; www.ccrbt.or.tz
Brazaaaaaaa..,hizo tuhuma zinataja wagonjwa wa fistula tuu..?
Wee *****, hivi unajua kuwa kwanza Dr. Slaa sio Katibu bali ni Mwenyekiti? Pili, yeye kama M/Kiti wa Bodi anashughulika na Policy Issues na sio Operational issues? Hujui kuwa CCBRT ina CEO wake ambaye kimsingi jukumu la fedha na uendeshaji wa kila siku wa Taasisi hiyo uko chini yake? Sasa, Slaa anahusikaje hapa? Kwanini usingemfuata CEO akujibu?