Hahahahahaha! Ndugu Rutashabanyuma unasema nenda, nenda, nenda, nenda DR SLAA? Lakini tumuombee asiende kimoja arudi mwaka 2015 panapo uhai ili atoe changamoto zaidi. Hata kama hatagombea awaandae wakina Kabwe watakuwa wameshafikia umri wa kugombea uraisi. Au unasemaje ndugu yangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.