Dr. Slaa hapa ulimaanisha nini? na Arumeru je?

apolycaripto

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
644
225
Ebu tujikumbushe kidogo katika haya ili kuondoa ama kupunguza pressure huko Arumeru hapo 1st April 2012 (Foolish Day)

quote_icon.png
By Dr.W.Slaa (Katibu Mkuu Chadema)

WanaJF,
Niko uzini leo siku ya Tatu. Naomba niwahakikishie wanachadema na wapenzi wenu kuwa tutafanya mpaka kieleweke. Uzini wananchi ni waelewa sana. Wanapenda hoja na si porojo. Wanaopiga porojo kwenye jamvi hili au hawajui kinachoendelea on the ground au wanasukumwa na ushabiki tu kama walivyozoea. Uzini na Zanzibar iko tayari kwa mabadiliko makubwa. Uzini tofauti na watu wanavyofikiri Chadema ina matawi sasa kila Shehia katika Shehia (sawa na vijiji au mitaa bara). Jana nimezindua ofisi, matawi,maskani 7 katika majimbo mbalimbali nje ya Uzini mathalan Mfenesini,Magogoni, Bububu na kadhalika. Kwa hakika moto utakaowaka kutokea Bambi(Uzini) tunakozindulia Kampeni yetu kwa hakika utaunguza Zanzibar yote. Kwa bahati mbaya ndani ya Uzini hakuna network isipokuwa Zantel na hata hivyo hakuna mtandao (internet hadi uende mjinZanzibar. Ndio maana hakuna taarifa. Tunaomba radhi. Lakini kuanzia leo waandishi wa habari watakuwepo ambapo jioni wanaweza kuleta habari wakirejea mjini.
Narudia tena wananchi ni wakarimu sana. Kwa kuwa hakuna guesti kabisa wananchi wamewapokea timu yetu ya Kampein kwenye nyumba zao. Hii ni dalili njema. Tunawashukuru sana.


quote_icon.png
By Ng'wana Sweke (Kamanda)

Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Updates;

Ngoma sasa iko kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Uzini. Matokeo yanaendelea kukusanywa na kufanyiwa majumuisho kwenye kompyuta. Mechanism yetu pia inaendelea kukusanya matokeo yote ya kura zote na taarifa za mchakato mzima wa leo. Uchaguzi umetawaliwa na vitisho na ubabe mwingi. Mpaka sasa zipo taarifa juu ya CCM kuweka ofisi ndogo katika kila kituo cha kupigia kura. Wakiwakamata wapiga kura na kuwashikisha vitambulisho vya kupigia kura. Wakitoka kupiga kura anakuwepo mtu maalum anawapatia pesa.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Msimamizi kamtangaza Mohamedraza Hassanal Mohamedali wa CCM kuwa mshindi kwa kura 5,377 (91.1%) akifuatiwa na Maalim Ali Mbarouk Mshimba wa CHADEMA, kwa kura 281 (4.8 %), wa CUF anafuatia akiwa na kura 223 (3.8), kisha TADEA kwa kura 14 (0.2%)na AFP kura 8. Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 5,903 na zilizoharibika ni 28.

quote_icon.png
By Mungi (Mwanachama)
This may not be the reliable source at all

My Note: Siasa tunazozicheza kwenye Key Board kupitia watoa taarifa wetu mara nyingi zimekuwa zikitupa pressure nusu ya kuzirai baada ya matokeo. Haya tuelekee Arumeru
 
Ha ha ha haaa! Nimeipenda hiyo. Tatizo Arumeru ngoma inachezwa siku ya wajinga. Taarifa zitatuchanganya sana. Bila shaka yatakayotokea Arumeru ni marejeo ya Uzini.
 
Hujasomeka.Kama u'r not a great thinker don copy and paste....Be open minded, if u mean something we need to learn something from u..Kama huna hoja don copy and paste outdated ideas..........
 
anamanisha wakati mwengine epuka ushabiki, sometimes kwenye campaigns kuna mambo mengi sana yanayoweza kutokea lakini wakti unapofika kila mtu anaamua kivyake.
Lakini pia sometimes viongozi wetu huwa wanakuwa kama el sahaf wa iraq
 
anamanisha wakati mwengine epuka ushabiki, sometimes kwenye campaigns kuna mambo mengi sana yanayoweza kutokea lakini wakti unapofika kila mtu anaamua kivyake.
Lakini pia sometimes viongozi wetu huwa wanakuwa kama el sahaf wa iraq

Ha ha haaaaa kwa hiyo wataka kusema Slaa = Al sahaf ? Kweli mzee watu mmemchukia sana
 
Ebu tujikumbushe kidogo katika haya ili kuondoa ama kupunguza pressure huko Arumeru hapo 1st April 2012 (Foolish Day)

quote_icon.png
By Dr.W.Slaa (Katibu Mkuu Chadema)

WanaJF,
Niko uzini leo siku ya Tatu. Naomba niwahakikishie wanachadema na wapenzi wenu kuwa tutafanya mpaka kieleweke. Uzini wananchi ni waelewa sana. Wanapenda hoja na si porojo. Wanaopiga porojo kwenye jamvi hili au hawajui kinachoendelea on the ground au wanasukumwa na ushabiki tu kama walivyozoea. Uzini na Zanzibar iko tayari kwa mabadiliko makubwa. Uzini tofauti na watu wanavyofikiri Chadema ina matawi sasa kila Shehia katika Shehia (sawa na vijiji au mitaa bara). Jana nimezindua ofisi, matawi,maskani 7 katika majimbo mbalimbali nje ya Uzini mathalan Mfenesini,Magogoni, Bububu na kadhalika. Kwa hakika moto utakaowaka kutokea Bambi(Uzini) tunakozindulia Kampeni yetu kwa hakika utaunguza Zanzibar yote. Kwa bahati mbaya ndani ya Uzini hakuna network isipokuwa Zantel na hata hivyo hakuna mtandao (internet hadi uende mjinZanzibar. Ndio maana hakuna taarifa. Tunaomba radhi. Lakini kuanzia leo waandishi wa habari watakuwepo ambapo jioni wanaweza kuleta habari wakirejea mjini.
Narudia tena wananchi ni wakarimu sana. Kwa kuwa hakuna guesti kabisa wananchi wamewapokea timu yetu ya Kampein kwenye nyumba zao. Hii ni dalili njema. Tunawashukuru sana.


quote_icon.png
By Ng'wana Sweke (Kamanda)

Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Updates;

Ngoma sasa iko kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Uzini. Matokeo yanaendelea kukusanywa na kufanyiwa majumuisho kwenye kompyuta. Mechanism yetu pia inaendelea kukusanya matokeo yote ya kura zote na taarifa za mchakato mzima wa leo. Uchaguzi umetawaliwa na vitisho na ubabe mwingi. Mpaka sasa zipo taarifa juu ya CCM kuweka ofisi ndogo katika kila kituo cha kupigia kura. Wakiwakamata wapiga kura na kuwashikisha vitambulisho vya kupigia kura. Wakitoka kupiga kura anakuwepo mtu maalum anawapatia pesa.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Msimamizi kamtangaza Mohamedraza Hassanal Mohamedali wa CCM kuwa mshindi kwa kura 5,377 (91.1%) akifuatiwa na Maalim Ali Mbarouk Mshimba wa CHADEMA, kwa kura 281 (4.8 %), wa CUF anafuatia akiwa na kura 223 (3.8), kisha TADEA kwa kura 14 (0.2%)na AFP kura 8. Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 5,903 na zilizoharibika ni 28.

quote_icon.png
By Mungi (Mwanachama)
This may not be the reliable source at all

My Note: Siasa tunazozicheza kwenye Key Board kupitia watoa taarifa wetu mara nyingi zimekuwa zikitupa pressure nusu ya kuzirai baada ya matokeo. Haya tuelekee Arumeru

Sasa nini hukuelewa? tukurudishe darasa la saba nini?
Shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sasa nini hukuelewa? tukurudishe darasa la saba nini?
Shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Sasa wewe ndo wakurudishwa darasa la saba. Mwenzako hajasema kuwa hajaelewa. Ameiweka hapo kwa makusudi jinsi kauli za wanasiasa zisivyoaminika na kuwa hazina uhakika. Msome vizuri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom