Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
Hiyo inaitwa prejudiced, CDM haiendi hivyo.Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
Hiyo inaitwa prejudiced, CDM haiendi hivyo.Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
sasa hapa ni shame on me or shame on hao ambao wanaiba! sio kila anayeongea tofauti na cdm ni ccm tu! alafu tatizo hampendi kukosolewa hata panapostaili! shame on zitto kwa kukudanganya kumbe nae fisadi na bado shame on hao unaowaamini wewe ambao waliibia sehemu takatifu! bungu ni wa maajabu,tuombe uhai mkuu utayaona tu. tatizo una:A S-baby:
Wewe ni kiraza wa ukweri usiyetaka kuona tatizo lako ni hili:shetani: