Kuna wabunge watano wa Chadema sidhani kama watapona labda wabebwe na chama chao.
ACha izo para rara una unacho kijua hapo.Zitto haponi hapo
go baba letu dr.slaa rais wa nne wa jmt 2015
Hapo Mnyika haponi
Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
mkuu RIWA upo dunia gani? Zitto kala RUSHWA ni Fisadi Kijana...Kwani Zitto yumo kati ya hao wala rushwa wa kwenye kamati za bunge? awajibike kwa sababu yeye kama Zitto kala rushwa, au kuna mbunge kwenye kamati yake kala rushwa? Nieleweshe.
Kuna wabunge watano wa Chadema sidhani kama watapona labda wabebwe na chama chao.
mkuu RIWA upo dunia gani? Zitto kala RUSHWA ni Fisadi Kijana...
Ongea na utoe ushahidi kwenye hili, ungekua upo sahihi sana,Na kama una ushahidi sivyema kuropokwa,Maana kurokwa ni moja ya dalili za upungufu wa akili.mkuu RIWA upo dunia gani? Zitto kala RUSHWA ni Fisadi Kijana...
Ataondokaje wakati hajatimiza kazi aliyotumwa na magamba?Zitto mpaka ufukuzwe... Jipime uchukue hatua... dunia kote wanasiasa huwajibika kutokana na tuhuma, kaa pembeni tuutafute ukweli.
Dr Slaa amebakia kuwa mtu wa kudandia matukio na kuyatolea kauli za ajabu ili aendelee kusikika kwa wananchi kwamba bado yupo kwenye harakati za kisiasa..
Dr Slaa kila siku unatoa mara kauli unaipa wiki serikali kutoa hukumu kwa mafisadi linapokuja kuhongwa kwa wabunge wa Chadema unaleta siasa eti tunaitaji tupate maelezo ya kina chama chetu hakikurupuki kama akitajwa atawajibishwa kupitia kikao cha CC ya chama.
Dar Slaa anasema anasubiri taarifa kutoka kwa Mbowe sasa sijui unasubiri taarifa gani wakati huwezi kufukuza wala rushwa ndani ya chama chako kwa hiyo kama Mbowe naye yumo utafanyaje.
Ataondokaje wakati hajatimiza kazi aliyotumwa na magamba?
Dr Slaa amebakia kuwa mtu wa kudandia matukio na kuyatolea kauli za ajabu ili aendelee kusikika kwa wananchi kwamba bado yupo kwenye harakati za kisiasa..
Dr Slaa kila siku unatoa mara kauli unaipa wiki serikali kutoa hukumu kwa mafisadi linapokuja kuhongwa kwa wabunge wa Chadema unaleta siasa eti tunaitaji tupate maelezo ya kina chama chetu hakikurupuki kama akitajwa atawajibishwa kupitia kikao cha CC ya chama.
Dar Slaa anasema anasubiri taarifa kutoka kwa Mbowe sasa sijui unasubiri taarifa gani wakati huwezi kufukuza wala rushwa ndani ya chama chako kwa hiyo kama Mbowe naye yumo utafanyaje.
Bora mmejua kua mwisho wa siku binadamu ni binadamu tu awe kutoka ccm au cdm wote ni wezi na wote ni wala rushwa.. Kuna siku nilisema cdm wakichukua nchi na wao wataiba ka ccm nikashambuliwa hapa haya tumejionea wenyewe.. Kuna msemo unasema 'its better the devil you know'