Bwahahahahahahaaahaaa.....Utaelewa tusijamuelewa mwanzishaji wa mada, je mahusiano ya mkono na kazi zake zakichama yanahusishwaje. Slaa ni binadamu na ataendelea kuwa binadamu, ama uanadhani kaugaganga kabagamoyo kanakowadosha watu kamemkaba?
Jama nimemwona Dr wetu, Dr Slaa! Hivi kumbe ile ajali alopata wakati wa kampeni umemlemaza mkono. Hope Mungu atamjalia apone.
Vipi mbona unazuka ghafla tu wewee?Heri ya Slaa aliyeanguka mara moja, je raisi wako aliyodondoka mara 5!
Hakufanyiwa physical therapy ya kutosha?
Nimeangalia taarifa ya habari ITV sikubaliani na wewe! Labda kama unajicho la kichawi
Jamani hebu kama kuna mweny taarifa za uhakika kuhusu maendeleo ya huo mkono atujuze, mimi pia nilishtushwa sana jana. Mungu amlinde na kumbarikiNimeyaamini macho yangu kaka. Kwa walioona taarifa ya habari ya saa mbili watakubalina nami mkuu.
Bwahahahahahahaaahaaa.....Utaelewa tu
Ushauri wangu kwa viongozi wa Chadema,
Nimeangalia mikutano ya Chadema pamoja na maandamano ya Mwanza, Mbeya, Sumbawanga, Dk Slaa naona mkono wake wa kushoto bado ujapona hanapata shida sana kushika kipaza sauti na ni muda sasa toka aumie, ushauri tafuteni mtaalamu wa tiba ya mifupa, misuli, viungo (Ophopaedisti) bingwa au mpelekeni India kwa mabingwa wa tiba ya mifupa. ARTEMIS HOSPITAL au APOLLO HOSPITAL ni ushauri tu wana JF