SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Dr Slaa anasema chama chochote cha upinzani kazi yake sio kukipigia makofi serikali iliyoko madarakani bali ni kuikosoa pindi inapoenda mrama kwa hiyo tangu miaka 50 ya uhuru haijatokea chama kukukosoa ama kuonesha kutokuwa na imani na serikali yao kama nchi zingine zinavyofanya pindi serikali inavyofanya hovyo na kutowajali raia wake.
Kutokana na chadema kuanza kuonesha izo movement kwa vitendo imewafanya waanze kuingiwa na hofu na badala ya kujibu hoja zao wao wanawaachia polisi ili iwazibiti pamoja na msajili wa vyama.Dr Slaa amewaambia huo ni mwanzo na wataendelea mpaka wawatoe watanzania gizani dhidi ya serikali yao na wala hawatishwi na lolote.
My take;
Kweli ccm inaongozwa na vipofu wasiojua watokapo na waendapo iweje washindwe kujibu hoja za chadema na pia baada ya kushauriwa wa Sumaye naye wamempinga. Hawa sio viongozi bali bora uongozi
Nawasilisha
Kutokana na chadema kuanza kuonesha izo movement kwa vitendo imewafanya waanze kuingiwa na hofu na badala ya kujibu hoja zao wao wanawaachia polisi ili iwazibiti pamoja na msajili wa vyama.Dr Slaa amewaambia huo ni mwanzo na wataendelea mpaka wawatoe watanzania gizani dhidi ya serikali yao na wala hawatishwi na lolote.
My take;
Kweli ccm inaongozwa na vipofu wasiojua watokapo na waendapo iweje washindwe kujibu hoja za chadema na pia baada ya kushauriwa wa Sumaye naye wamempinga. Hawa sio viongozi bali bora uongozi
Nawasilisha