Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakuu naona DR Slaa anaweka vitu vya maana sana kule FB si vibaya tukapeana na sisis na tuvijadili
hizi ni za leo
""Watanzania tunataabika kwa maamuzi yetu wenyewe.Tuna miaka mingine mitano ya Maisha bora kwa Dowans na maisha duni kwa kila Mtanzania.Tunailipa Dowans fedha zenye thamani ya Zahanati za kisasa 462 kwa kila zahanati kujengwa kwa gharama ya Tsh. Milioni 400 kila moja""
hizi ni za leo
""Watanzania tunataabika kwa maamuzi yetu wenyewe.Tuna miaka mingine mitano ya Maisha bora kwa Dowans na maisha duni kwa kila Mtanzania.Tunailipa Dowans fedha zenye thamani ya Zahanati za kisasa 462 kwa kila zahanati kujengwa kwa gharama ya Tsh. Milioni 400 kila moja""