hata aibu hamuoni? Matatizo ya wengine ndio mtaji wenu wa siasa. Hata utu hamna.
tumechoka na matamko hayatusaidii kitu chochote!kwa sababu mzee wa magogoni ameshndwa kutoa tamko kuhusu maafa,nakuomba Dk Slaa toa tamko na pia toa ile helcopt ije itoe msaada nadhani watu wataelewa vizur nani kiongoz bora na nani bora kiongoz
kwa sababu mzee wa magogoni ameshndwa kutoa tamko kuhusu maafa,nakuomba Dk Slaa toa tamko na pia toa ile helcopt ije itoe msaada nadhani watu wataelewa vizur nani kiongoz bora na nani bora kiongoz
Angetaka angefanya bila hata kumwambia, nae ni mmoja kat ya wale.
Ni ukweli usiopingika kuwa Slaa ni kiongozi bora lakini kwa sababu ya hila za CCm hakupewa nafasi ya kuwahudumia watanzania, kumbebesha zigo ambalo si lake sio vyema; hapa sio mahali pake.
Tutawajua kwa matendo yao! Hata kwenye msafala wa Mamba - Kenge wamo.
acha uwongo wewe, unavyomona slaa ni wakukatazwa alafu akakubal, angetaka angeshatoa ushrikiano, politics is a dirt game..b crful.
Hata aibu hamuoni? matatizo ya wengine ndio mtaji wenu wa siasa. Hata utu hamna.
Kila mtu atakula alipopeleka mboga. Muujiza ni 2015! Igunga aligongwa na gari mtoto mmoja tu Nape akafungia safari na kuita press conference. Ingekuwa Kafulila ni wa temeke hapa, kina fulani wangepiga mbizi vifua wazi kuokoa watu! Tungejionea sinema ya chee!