DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Elimu bure ni Sera ya chadema..
Akina Masaburi wanataka kuiga.
Akina Masaburi wanataka kuiga.
kuna mtoa r..ushwa mmoja wa ccm aliiga hii , hata hivyo tumemstukia mapema sana !
Kwa wote wanaoidharau cdm wakae chini na kutafakari upya kwakuwa watanzania waliowengi wamechoka na chama tawala na wanataka mabadiliko hata kama yatakuwa ya hovyo kuna kila sababu ya kujitafakari na kuangalia hatma ya nchi sio mizaha isiyo na maana mara uzinzi mara u-dj nk
Khaa!! Dr wa ukweli kitila amefukuzwa cdm.sasa wamebaki dr lema, dr sugu, dr mbowe na wengine
kwa analysis zipi mkuu...ni ngumu kujumuisha mawazo ya watanzania wote kwa mijadala ya vijiweni. Kwa mfano kuichoka ccm na kuwa tayar kuchagua chama chochote hata kama cha ajabu inaingia akilin kweli?
Tanzania haiwezi kuongozwa na rais Padre hata siku moja.View attachment 124129
Inueni mioyo
Chadema hawana sifa ya kuwaongoza watanzania bado hatujapata mbadala wa CCM.Kwa wote wanaoidharau cdm wakae chini na kutafakari upya kwakuwa watanzania waliowengi wamechoka na chama tawala na wanataka mabadiliko hata kama yatakuwa ya hovyo kuna kila sababu ya kujitafakari na kuangalia hatma ya nchi sio mizaha isiyo na maana mara uzinzi mara u-dj nk
Wanao ongoza sasa ni dhahiri hawana sifa na hilo wanakiri hadharani, miaka 50 bado tuko kundi la nchi maskini zaidi duniani, sasa kama experience yako ya sifa za kiuongozi unaichukulia kwa ccm unataka tutarajie hoja gani zaidi toka kwako?Chadema hawana sifa ya kuwaongoza watanzania bado hatujapata mbadala wa CCM.