Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Nimesikia leo Nape Mwanza kahoji Dr. Slaa alirudisha lini na wapi kadi ya CCM! Swali hili si dogo limenipa mawazo!

Kama Dr Slaa aliilipia basi ni yake. Anaweza kufanya atakavyo. Vipi yeye Nape card yake CCJ iko wapi?
 
hivi hata usiporudisha kadi katiba ya ccm inasema hivi kuhusu uanachama:
7. (1) mtu akikubali kuwa mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-
(a) atatoa kiingilio cha uanachama
(b) atalipa ada ya uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipenda anaweza kulipa ada ya mwaka mzima mara moja.
(c) atatoa michango yoyote itakayoamuliwa
(2) viwango vya kiingilio, ada na michango vitawekwa na halmashauri kuu ya taifa.
(3) uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-
(a)kufariki.
(b)kujiuzulu mwenyewe.
(c)kuachishwa kwa mujibu wa katiba.
(d)kufukuzwa kwa mujibu wa katiba.
(e)kutotimiza masharti ya uanachama.
(f)kujiunga na chama kingine chochote cha siasa.
(4) mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.

Nape, katibu mwenezi wa chama anapaswa ajue haya.

my take:
uongo na kuchafuana bado vinatumika kama mtaji wa kisiasa. Watu wameshaamka, tutumie mambo yenye maslahi ya nchi kufanya siasa.

Kama hajarudisha kadi, nape anataka kuwaambia wana ccm kuwa slaa bado mwana ccm?
nnauye jr, mtu akishaacha kulipa ada, au kujiunga rasmi na chama kingine si lazima arudishe kadi. Anakuwa si mwanachama kwa mujibu wa katiba ya ccm.
hapo ndipo panapofanya niipende jf.mtu anajibiwa kitaalamu na kwa hoja mpaka anakuwa mdogo kama piriton.
 
Katiba ya CCM inasema, unapojiunga na chama kingine tu, uanachama wako wa CCM unakwisha mara moja.
 
Hivi hata usiporudisha kadi Katiba ya CCM inasema hivi kuhusu uanachama:
7. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-
(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama
(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipenda anaweza kulipa ada ya mwaka mzima mara moja.
(c) Atatoa michango yoyote itakayoamuliwa
(2) Viwango vya kiingilio, ada na michango vitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.
(3) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-
(a)Kufariki.
(b)Kujiuzulu mwenyewe.
(c)Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d)Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e)Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f)Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.
(4) Mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.

Nape, Katibu Mwenezi wa Chama anapaswa ajue haya.

My take:
Uongo na kuchafuana bado vinatumika kama mtaji wa kisiasa. Watu wameshaamka, tutumie mambo yenye maslahi ya nchi kufanya siasa.

Kama hajarudisha kadi, Nape anataka kuwaambia wana CCM kuwa Slaa bado mwana CCM?
Nnauye Jr, mtu akishaacha kulipa ada, au kujiunga rasmi na chama kingine si lazima arudishe kadi. Anakuwa si mwanachama kwa mujibu wa katiba ya CCM.

usijeshangaa hata nape mwenyewe hajui katiba ya ccm inasemaje juu ya uanachama wa ccm,otherwise kwa nafasi yake asingekuwa anaongea hayo
 
usijeshangaa hata nape mwenyewe hajui katiba ya ccm inasemaje juu ya uanachama wa ccm,otherwise kwa nafasi yake asingekuwa anaongea hayo

Kinachonikera ni siasa zinazojengwa katika upotoshaji, uongo, vijimaneno n.k. badala ya mambo yenye maslahi kwa maendeleo ya nchi yetu!

Siasa hizi bado zinategemea upumbavu wa wananchi kuendelea kukubalika. Ndio mtaji ambao Nape anatumia.

Chama tawala kilipaswa kuonesha mfano katika hili jambo. Na wananchi wanazidi kuamka kwa kuona uongo na upotoshaji wa wazi kama huu.
 
Kwani wapi Nape kasema juu ya uanachama...uzezeta mwingine bhana hadimkinyaa, kauliza tu kadi ya CCM ya Dr. slaa aliirudisha lini na wapi basi......

Hivi hata usiporudisha kadi Katiba ya CCM inasema hivi kuhusu uanachama:
7. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-
(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama
(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipenda anaweza kulipa ada ya mwaka mzima mara moja.
(c) Atatoa michango yoyote itakayoamuliwa
(2) Viwango vya kiingilio, ada na michango vitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.
(3) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-
(a)Kufariki.
(b)Kujiuzulu mwenyewe.
(c)Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d)Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e)Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f)Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.
(4) Mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.

Nape, Katibu Mwenezi wa Chama anapaswa ajue haya.

My take:
Uongo na kuchafuana bado vinatumika kama mtaji wa kisiasa. Watu wameshaamka, tutumie mambo yenye maslahi ya nchi kufanya siasa.

Kama hajarudisha kadi, Nape anataka kuwaambia wana CCM kuwa Slaa bado mwana CCM?
Nnauye Jr, mtu akishaacha kulipa ada, au kujiunga rasmi na chama kingine si lazima arudishe kadi. Anakuwa si mwanachama kwa mujibu wa katiba ya CCM.
 
Kwani wapi Nape kasema juu ya uanachama...uzezeta mwingine bhana hadimkinyaa, kauliza tu kadi ya CCM ya Dr. slaa aliirudisha lini na wapi basi......

Read between the lines! Kama akijibiwa kuwa bado anayo, halafu?

Labda kwa kuwa wewe ndiye uliyeanzisha uzi huu, tuambie ulitegemea tujadili vipi?

P.S. Maneno kama hilo jekundu hutumiwa na wasio waungwana na waliokosa hoja.
 
Kweli nimeamini maneno niliyowah kuambiwa na Mkongwe siasa za hapa Tanzania.... Kwa undondocha huo wa Nape Nnauye Jr CCM isitegemee mabadiliko bali maziko. Rest In Hell Chama Cha Majangili{CCM}.. Wanyama pori wetu wapo hatarini kutoweka.
 
Last edited by a moderator:
Watu wakizitupa, kuzikanyaga au wakizichoma moto hadharani hizo kadi za CCM utawaona kinaNape na wenzake wanakuja juu kulalamika kuwa ni udharirishaji na uvunjifu wa sheria.
 
Hakuna hoja hapa mnajadili nini jamani,hapa tunapotezeana muda,mods naomba Thread nyingine kama hizi msiwe mnaziachia kwenda hewani zinatupotezea muda!!!!!!!
 
Nimesikia leo Nape Mwanza kahoji Dr. Slaa alirudisha lini na wapi kadi ya CCM! Swali hili si dogo limenipa mawazo!

Kama kweli kauliza swali hilo Nape kaishiwa, Hivi ukiwa na kadi ya chama furani ukaamua kuichana unadaiwa? mi nafikiri kwa Dr. Slaa aliichana kwa jinsi alivyokuwa na hasira na Matendo ndani ya CCM.
 
Hakuna hoja hapa mnajadili nini jamani,hapa tunapotezeana muda,mods naomba Thread nyingine kama hizi msiwe mnaziachia kwenda hewani zinatupotezea muda!!!!!!!
Tatizo ni Boss wako Nape kuropokaropoka na wale vibaraka wake humu JF wanakuja kuanzisha hoja ushwara kama hii ili walipwe vizuri(Siku hizi wanalipwa kulingana na Topic walizoanzisha)

Sisi wengine ni waungwana tunaweza kumjibu mtu yoyote kwa hoja yake.
 
Dr. Slaa alishatolea ufafanuzi jambo hilo siku nyingi tu labda hamna kumbukumbu ya yaliyopita au kukumbuka mambo na mada kadhaa ambazo zimejadiliwa au kuandikwa kwenye vyombo vya habari.

Dr. Slaa alisema hakuirudisha kadi ya uanachama CCM kwa sababu ni mali yake aliinunua hakuipata bure. Maana yake kama CCM wanaitaka kadi yake wamrudishie pesa aliyonunulia vinginevyo Nape hana hoja ni kudandia vitu visivyo na miguu wala vichwa.
 
Kwani wapi Nape kasema juu ya uanachama...uzezeta mwingine bhana hadimkinyaa, kauliza tu kadi ya CCM ya Dr. slaa aliirudisha lini na wapi basi......

Mimi naona unatatizo kwenye uwezo wako wa kufikiri! Kwani ukihama chama ni lazima kuirudisha kadi? unarudisha wapi kadi? Funua ubongo wako Mkuu! Ni upuuzi kwa Nape kuongelea mambo ya Dr. W. P. Slaa kwenye mkutano wao wandani?
 
Last edited by a moderator:
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.
Kwani wakati magamba waliponunua kadi za CDM walizifanya nini pale Jangwani??? Mbona mnaleta hoja za kipu'uzi kwenye forum, kama mmeishiwa hoja tumieni mda wenu kufanya mambo mengine yanayojenga. Tukikujibu kuwa aliitia kibiriti utamfunga???
 
Nimesikia leo Nape Mwanza kahoji Dr. Slaa alirudisha lini na wapi kadi ya CCM! Swali hili si dogo limenipa mawazo!

hoja hiyo ilishajibiwa na docta kitambo mwaka 2010,kipindi cha uchaguzi kwamba kadi aliinunua kwa pesa yake halali.unataka amrudishie nani?.kama zinagawiwa bure hapo sawa hyo ni yake
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.

We ya kwako ulirudisha na kututangazia?

 
Back
Top Bottom